Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

hahahah kuna dereva taxi huwa ana msemo kuwa walewale hata ufanyie nini hawana shukrani
 
Hata mi siambiwi specific ni nini kwakweli, ndo maana tu nmejaribu atleast kaeleza naishije ili nyie mnaotaka kufanyiwa mazuri na kipi tena kinamiss hapo

Basi kama hajawahi kukwambia ni vyema ukatafuta siku ukamkalisha chini kwa upole na unyenyekevu umuulize ni mapungufu gani ambayo anayaona kwako au ni tabia au matendo gani ambayo hayapendi kutoka kwako. Nina uhakika ukifanya hivyo atakusikiliza, atakueleza mapungufu yako na utaweza kujirekebisha au kufanya kile ambacho anatamani umfanyie.
 
Hahaha maana niliwazapo na hapo teh. Hivi kumbe team kulia lia tupo wengi mwee

Kwakweli kwenye team mi ntakua mweka hazina cheo cha uenyekiti nimekikosa siku hizi nimepunguza,zamani nlikua nalia hadi nkajihisi nna asili ya India nini lol
 
May the defendant rise please?

On a serious note; Kimsingi mnachukuliana poa. Peaneni muda tu ili kila mtu aone umuhimu wa mwenzake. You know the saying "if you love someone/something...". We never realize how really good we got it, til we no longer have it.

Some brothers are so so lucky!
 
Kuna baadhi ya wanaume wameumbwa na gubu la kulalamika yaani jinsi wasemavyo kuna wakati kwenye mapenzi tunadekeana basi kwa hawa deko lao ni lawama even though hawamaanishi lawama kwani ukiwauliza kistaarabu hawana sababu za msingi.... Rafiki your doing best kwani every man anategemea kupata lau nusu ya unayofanya kwa wife material wake....

Mwanamme mlalamiki anatokana na maisha yafuatayo; wa kwanza au mwisho kuzaliwa na kupewa priority kutokana na nafasi yake, mtoto pekee wa kiume, kalelewa na mama peke yake, kalelewa na bibi, alibaguliwa na wazazi mara baada ya kuzaliwa mfano wazazi wana watoto 2 wa kiume hivyo wa 3 walitegemea jike then anatokea kidume hivyo wanamkataa kinafsi hiyo inachangia hii hali, kudekezwa kutokana na wazazi kutojua malezi na hili ni tatizo kwa wazazi wengi...., kulea watoto kwa upendeleo nako kunazalisha hii hali...hasa yule anayehisi kutopendelewa

Kaka angu hapa kama vile nmeanza kupata picha halisi sasa, katika kulalamika nikimuuliza hana sababu ya msingi, pia ni first born.... Kuna vitu umeongea hapa vina ka ukweli fulani Oooh so natakiwa tu kuona ndivo alivo ehuuuuuu atleast hata nmejua pa kuanzia ubarikiwe bro angu
 
Basi kama hajawahi kukwambia ni vyema ukatafuta siku ukamkalisha chini kwa upole na unyenyekevu umuulize ni mapungufu gani ambayo anayaona kwako au ni tabia au matendo gani ambayo hayapendi kutoka kwako. Nina uhakika ukifanya hivyo atakusikiliza, atakueleza mapungufu yako na utaweza kujirekebisha au kufanya kile ambacho anatamani umfanyie.
Young Master msome hapo chini
Ha ha ha loya nshatoa mfano mmoja naogopa kuongea sana nisijevuka mipaka lol
Okay kingine ambacho nabaki mdomo wazi ye anapenda sana kuwa bize na simu kwangu sio ishu, nipo nae but very bize whatsapp na jf... Mi nikishika simu Oooh analalamika nashinda jf nashinda instagram ha ha ha ha nicheke kama mazuri, juzi nite tulikua somewhere akawa anapiga story na watu story ambazo Sina ideas so I decided kuchukua simu nicheki cheki jf nkashangaa anatuma msg unaniboa sana kuwa bize na simu lol wakati ol the time ye kashika simu yupo bize teh

Ha ha ha loya nshatoa mfano mmoja naogopa kuongea sana nisijevuka mipaka lol
Okay kingine ambacho nabaki mdomo wazi ye anapenda sana kuwa bize na simu kwangu sio ishu, nipo nae but very bize whatsapp na jf... Mi nikishika simu Oooh analalamika nashinda jf nashinda instagram ha ha ha ha nicheke kama mazuri, juzi nite tulikua somewhere akawa anapiga story na watu story ambazo Sina ideas so I decided kuchukua simu nicheki cheki jf nkashangaa anatuma msg unaniboa sana kuwa bize na simu lol wakati ol the time ye kashika simu yupo bize teh
 
Last edited by a moderator:
Vitu vidogo ndo vipi mfano? Hapo kwenye kufanya mapenzi tumebakiza tu kufanyia ndani ya friji.....

Hahahhahahhahahahahahhaaaaaaaa!
Hongera mwaya........nimekupenda buree kabisaaaaa.
...........wanawake wote wamefanya vyema lakini wewe umewapita wooteeee...........
 
Some brothers are so so lucky!
Yup! The downside of that is, you pay twice when she's gone. Been down that road not once, not twice.

But sometimes these Mamas are confusing us. I just told my Chic that I love her, and she got concerned that I sound emotional. I said alright, I'll go Macho from now on.
 
Teh gelofriend bila shaka hata ye ukimuuliza anaweza kua hajui may be nikupe kamfano kadunchu jana mchana mida ya kula nimemnawisha mikono nikampakulia akaanza kula mara kidume cha mbegu kinazunguka pale (our son) nikamchukua kumlisha daddy kamaliza kula mie namlisha mtoto akaanza kunawa mwenyewe eeh nkashangaa analalamika kuwa anajinawisha mwenyewe simhudumii au nlitakiwa nimuache kidume cha mbegu nimnawishe? Maisha ni magumu mweh.... Kuna vitu vidunchu ila vinaumizaga kichwa unaweza hata usilale unakiwaza tu japo kidogo

Nnaomba niseme jambo katika hili, na sifungamani na upande wowote....ila wanawake inapotokea umepata watoto upendo hugawanyika, simaanishi kwamba humpendi mumeo lakini ile kuonekana kama upo bize sana na mtoto hiyo inakela kwa mwanamume! Mie nakumbuka kuwa nilikaa vema tu na mamito wangu na mambo yalikuwa poa sana, ila nilijiona kikalagosi baada ya kupata hao viumbe wapya ndani! Yaani anaweza akaamka mapema sana tu akaanza majukumu yake, maji ya kuoga napata, nguo zinaweza zikanyoshwa au zisinyoshwe, chai niakaanza kusahau kunywa nyumbani...hotelini pakanihusu( na bahati mbaya sipendi vya hotelini) chakula nacho kinaenda katika mpangilio wake yeye anavyojiskia sio ule wa awali. Niwe muwazi kwangu yalikuwa maisha mapya tena! Wife ni mpole na mwelewa lakini katika hili alishindwa kufanya maamuzi! Tuligombezana hapa na pale....lakini mwisho wa siku ikabidi nileendeshe gari mlama and lafu, tumeenda katika speed ya 320 kwa muda wa kutosha more than miaka miwili....ndipo nikaanza kuona yanajiweka sawa...huku na mie nikiwa nimejiongeza kwa baadhi ya mambo na yeye pia...na sasa tupo shwari! But amini kwamba malalamiko yapo tu kila leo....kesho mnacheka na maisha yanaenda! Na kweli hakika nampenda mke wangu!
 
Hahaha gelofriend nimecheka huku hadi nimeshtua watu na sauti langu baya.

Hakuna kitu kizuri kama kujitambua unataka nini, hutokaa uyumbishwe na misimamo ya watu wa humu. Kuna watu kila kitu hawafanyi while in reality wanafanya hadi na nyongeza. Na kuna wengine hawafanyi kweli na mambo yako poa. Ila wewe usipofanya habari itakuwa nyingine kabisaaa, zubeda litakufata nyuma. Be you, do you coz hata tukijifanya kukushangaa kwani tunakupunguzia nini. Ahsante kwa kitchen party ya leo looh

Aaah gelofriend mi najua hapa ni kijiweni tu story za hapa zinabaki hapa tukirudi ndani tunakua watu wengine kabisa lol hapa ni "za kuambiwa changanya na zako"
 
Vitu vidogo ndo vipi mfano? Hapo kwenye kufanya mapenzi tumebakiza tu kufanyia ndani ya friji.....

hahahahaha eti tumebakiza kufanyia ndani ya friji!!!!! Dah umenifanya nimecheka mpaka wife to be kazani nimekuwa kichaa... Vitu vidogo ni Kama kusikia kile anachokwambia na kutekeleza. Binafsi Huwa sipendi ninapokua na Mtu wangu awe busy na Simu hasa Kipindi ambacho tunatakiwa kujadili kile Cha msingi na Hata kwenye Suala la kutafuta mtoto. Ingawa Wote ni Member wa humu lakini huwa tunapeana muda maalum wa kuwa na Simu zetu so inawezekana wewe unashindwa kua wa Aina Hiyo
 
usiwe kama yule jamaa wa kwenye biblia alimfuata yesu na kumwambia afanyeje aweze kuurithi ufalme wa mbingu yesu akamuuliza unatoa zaka, unashika sheria za torati na unafanya yoote mungu anayokutaka ufanye?...jamaa akaijibu ndio rabii kila kitu nafanya....yesu akamaliza mchezo kwa kumwambia "nenda kauze kila ulichonacho kisha unifuate"...jamaa akashindwa mchezo na kiaina akaupoteza ufalme wa mbingu...

back to your topic......umefanya vyooooote kwa mmeo. sasa nami nakupa moja tuu la kufanya ili uuteke moyo wa mumeo mpendwa.
KUTOKANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI NA UTANDAWAZI.....MPE MMEO MTANDAO PENDWA WA WAZEE NA VIJANA NA AMINI UTAKUWA USHAUTEKA MOYO WAKE WOTE.

Umeanza na story ya Mungu unamalizia na story ya kufir* ptyuuuuu am smart enough kutumia akili zangu za kiuanamke kuwin someone's heart kuliko kutumia tigo...wapo watumia tigo ila sio mie
 
Kwakweli kwenye team mi ntakua mweka hazina cheo cha uenyekiti nimekikosa siku hizi nimepunguza,zamani nlikua nalia hadi nkajihisi nna asili ya India nini lol

hapo ndipo ninapopendaga mimi lakini mimi napenda Akilia Chozi la Raha Sio chozi la karaha.. Mwanamke Chozi lake linathamani kubwa kuliacha litoke pasipo sababu ni kuidhulum nafsi yake. Vunja Ukimya Mficha Uchi? Utamaliza Mwenyewe
 
Ha ha ha mwaka mbaya kuanzia serikali hadi nyumbani lol hebu huu mwaka upite pambaff kabisa
Usichoke kujirekebisha hata kwa hayo unayo yaona ni madogo na hayana msingi! Usilalamike kulalamikiwa,Usimuoneshe madai au malalamiko yake hayana msingi..! Jirekebishe kwenye hayo hayo madogo! Anza na kutokutumia simu mkiwa pamoja(kuchart)

Usichoke maana usitegemee kuna siku utamridhisha 100% na haitotokea!
Hayo madai yake yachukulie makubwa sana na aone kweli umemuelewa!

Kuna wakati unaweza kuwa na mtu ukashindwa kupata mapungufu yake kwa haraka sasa unaweza kuleta madai yasiyo na msingi kujua mapungufu yake....!Pengine kutokubali kutokukubaliana ndio tatizo lako...!
Accept defeat hata mara moja..
Naogopa chopa itaniangusha
 
Back
Top Bottom