Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Namsindikizaje kazini wakati namie ni mfanya kazi? Mi sio mama wa nyumbani....
Hapo kwenye chakula akipendacho wala hanaga labda suprise ya bia ndo itamfurahisha food sio priority kwake
Hebu toa mfano wa anacho kulalamikia.....!
Wala mtoto hajabadili kitu kila mtu anapata anachostahili kabisa tena kwa mapenzi yote yupo serious sio joke
 
Umemdekeza sana!

Anadhani wewe ni ----- kwa kuyafanya hayo yote, so anatest zari au anatafutia sababu ya hata akienda kula kwa watu (akibadili mboga) ionekane wewe ndiyo chanzo.

Anza kumkazia taratibu baadhi ya vitu.

Akibadili mboga ni uamuzi wake tu wala sihusiki kwa namna yoyote ile am playing my part effectively japo sio Malaika nna mapungufu pia
 
Kuna baadhi ya wanaume wameumbwa na gubu la kulalamika yaani jinsi wasemavyo kuna wakati kwenye mapenzi tunadekeana basi kwa hawa deko lao ni lawama even though hawamaanishi lawama kwani ukiwauliza kistaarabu hawana sababu za msingi.... Rafiki your doing best kwani every man anategemea kupata lau nusu ya unayofanya kwa wife material wake....

Mwanamme mlalamiki anatokana na maisha yafuatayo; wa kwanza au mwisho kuzaliwa na kupewa priority kutokana na nafasi yake, mtoto pekee wa kiume, kalelewa na mama peke yake, kalelewa na bibi, alibaguliwa na wazazi mara baada ya kuzaliwa mfano wazazi wana watoto 2 wa kiume hivyo wa 3 walitegemea jike then anatokea kidume hivyo wanamkataa kinafsi hiyo inachangia hii hali, kudekezwa kutokana na wazazi kutojua malezi na hili ni tatizo kwa wazazi wengi...., kulea watoto kwa upendeleo nako kunazalisha hii hali...hasa yule anayehisi kutopendelewa
 
May the defendant rise please?

On a serious note; Kimsingi mnachukuliana poa. Peaneni muda tu ili kila mtu aone umuhimu wa mwenzake. You know the saying "if you love someone/something...". We never realize how really good we got it, til we no longer have it.

Mpendwa asikuambie mtu kwenye relation ukisikia tu habari za kupeana space tafuta pa kujiweka or join chama la mabachala hakunaga space kwenye mapenzi hayo ni matayarisho ya kuachana
 
Hahahah ndiyo hataki shobo za kuomba bia kisa umepewa reputation point

Ila my reporter Imebidi nicheke, nakumbuka ule uzi tunalalamika wanaume kutaka hadi kuvalishwa socks, maji bafuni, kunawishwa. Kumbe wapo wanaume wanaofanyiwa yote hayo na hawaridhiki. Hata kama ana mapungufu yake ile gelofriend wangu anajitahidi jamani. Evelyn Salt naweka booking ya kitchen party mapemaaa. Mtoto mbaya wewe loooh

Mi nlikua nawacheki tu we na BADILI TABIA mnavodiss ila nikafata ile principle ya za kuambiwa, nkajisemea akaa mi nafanya yangu hapo utakuta mnadiss kumbe maji mnapeleka kisha mnawabeba kuwapeleka kuoga na huenda mnawaogesha pia.....mi maji nachemsha na bafuni napeleka hiyo ni ratiba ya kila siku lol
 
Last edited by a moderator:
Evelyn Salt unasema unalalamikiwa lakini hujaeleza ni nini hasa unacholalamikiwa. Pengine ungesema unalalamikiwa nini maybe ningejua namna ya kukusaidia.

Hata mi siambiwi specific ni nini kwakweli, ndo maana tu nmejaribu atleast kaeleza naishije ili nyie mnaotaka kufanyiwa mazuri na kipi tena kinamiss hapo
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na yote Evelyn Salt, shemeji anapaswa afunguke.....nini ambacho amemiss. Anapokulalamikia tu bila kuwa wazi hamjitendei haki. Wewe sio mfalme njozi ujue palipopungua.

Pia na yeye ana wajibu wa kukusaidia malezi.
Wanaume wakumbuke hata wao sio wakamilifu ila wake zao wanayakubali yake mapungufu. Na haswa kama una mtoto mdogo jamani shemeji aelewe na kuvumilia.

Kwakweli kwa maisha haya basi kuwa mwanaume ni raha, mie sijui haya maraha ntapewa na nani au tumeumbwa kutoa tu maraha?
 
Last edited by a moderator:
Treat your hubby like a small kid.
Ukifanikiwa kwa hilo, utakua umemaliza aiseee....
 
Mwimbiage na kuchikuchi hotae siku moja moja shemeji yetu ikiwezekana chora na tattoo kabisa!
 
Hebu toa mfano wa anacho kulalamikia.....!

Ha ha ha loya nshatoa mfano mmoja naogopa kuongea sana nisijevuka mipaka lol
Okay kingine ambacho nabaki mdomo wazi ye anapenda sana kuwa bize na simu kwangu sio ishu, nipo nae but very bize whatsapp na jf... Mi nikishika simu Oooh analalamika nashinda jf nashinda instagram ha ha ha ha nicheke kama mazuri, juzi nite tulikua somewhere akawa anapiga story na watu story ambazo Sina ideas so I decided kuchukua simu nicheki cheki jf nkashangaa anatuma msg unaniboa sana kuwa bize na simu lol wakati ol the time ye kashika simu yupo bize teh
 
Mbwa mzee kujifunza mbinu mpya hili nalo tatizo tena tatizo kubwa.

Huwa naona real men The Boss akiwa among wanasema mwanaume anahitaji mambo matatu: food, sex and space.

Katika hayo mambo kwakweli am doing the best inawezekana kabisa nina mapungufu yangu ila am doing the best kwakweli, food, napika japo sio bonge moja la mpishi kama farkhina but I cook tena delicious ones, sex hii si kuwa tu ni wajibu ila ni hobby yangu kitu ikiwa hobby kifuatacho itv ni known kabisa, space hapa kidogo pananishinda japo najitahidi ila sio kwa fungulia doggy, anaechungwa ni mbuzi kwa binadamu tunafanya kukaba tu japo kukaba kwenyewe ni kulinda bahari ila hivo hivo tu almradi kuna kibao "Punguza mwendo kazi inaendelea mbele" tunapunguziana speed natoa space kwa kiasi Chake may be majukumu yakinizidi itakua zaidi ya hapo.

Apart from hivo vitatu nafanya na mengineyo mengi napika mwenyewe simuachii dada wa kazi, mezani naweka mwenyewe kumake sure kila kitu kipo sawa, nguo nasaidiwa kufua ila boxa nafua mwenyewe, nanyoosha mwenyewe, asubuhi naanda maji ya moto napeleka bafuni (bafu halina heater) muda huo nshaweka nguo za kazini standby na viatu nimebrush kabisa mara chache naandaa Chai sio kila siku kwasababu ni mvivu kula BADILI TABIA bila shaka unanishangaa sana make haya mambo hautajagi ha ha ha nishangae tu ukinishangaa nami na kushangaa.

Swala la heshima na kujali nikijifanyia assessment najiona nina 99%,i do respect him much, much kwakweli nikijilinganisha na ndugu, jamaa na rafiki am the best, naweza kuwavisit katikati ya maongezi mara wachambane na waume zao mara wawafokee kitu ambacho mi huwa nashangaa unawezaje kumchamba mmeo au kumfokea mbele za watu mmh sijawahi na sitakaa nithubutu nikikereka nangoja tukiwa wawili nikiona nachelewa kutoa dukuduku naandika meseji.

Kuna shost angu alishawahi kunitembelea akaishia kunishangaa inakuaje nanyoosha nguo za baby dady yeye wanaishi wote ila hajawahi kumfulia wala kumnyooshea nikamshangaa pia na kuzidi kujiona am the best mie ni "mwanamke" hizi huduma nazionaga kwa wamana watu wazima ndo wanawalea waume zao ila mie kwa age yangu tu hii najiona nipo kama mama lowasa ha ha .

Point yangu what else should I do? Pamoja na kujiona mwanamke, najiona kama mama Lowassa ila bado nalalamikiwa jamani wanaume zaidi ya haya kunakuna yapi tena?au ni human nature tu kwamba hatunaga kuridhika? Au kunanii?

Neno kulalamikiwa maana yake itaambatana na malalamishi mhusika utaja malalamishi mfano chumba kichafu nk sasa jibu jepesi ni kutendea kazi yanayo lalamikiwa kama yana msingi sio yote ya msingi , unafanya kazi nzuri kwa maelezo yako shida nyingine rikizo uongeza upendo
 
Back
Top Bottom