Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha mmh kumbe huenda hakuna shida ila tu nature yetu binadamu kuridhika kwetu ni msamiati
unaweza ukawa unafanya vingi sana lakini kuna vidogo ambavyo hugusi na ndo vinaugusa mtima wake
USHAURI:ZUNGUMZA NA MWENZIO kuhusu nini umfanyie
Yani huwezi amini wala mtoto hajahamisha upendo kwakweli mi najiona ni yule yule, nipo kama zamaniGelofriend unanishangaza ujue afu unaniinspire, kwa age yako ujue unafanya mambo amazing sana. Kumnawisha mume mikono mwee, hata hao mama zetu ni wachache wanafanya hivyo. Nahisi umemdekeza sana shem darlin, kiasi kwamba ukisahau tu kumfanyia ka kitu anaona kama humjali vile. Anataka attention yako 100% na ndicho ambacho umemzoesha miaka yote hii. Ingawa sasa hivi ka junior kapo, lazima kuna attention ihamie kwake. Mfanye asijihisi kuwa anacompete attention yako na junior. Utanisamehe kama ntakukwaza but nahisi shem anahisi labda umehamishia mapenzi kwa junior, otherwise asingecomplain kuwa hujamnawisha while anaona unamlisha juju.
Gelofriend unajua kupalilia ndoa wallahi loooooooh
Hahahha kwenda zako. Junior wao bana sio wewe. Afu uwe serious, leo gelofriend hataki utani
evelynchumvi unafanya wanayofanya mama zetu jambo ambalo ni nadra kwa ndoa za vijana wa sasa labda tu kutoridhika kibinadamu pole yako cha muhimu ni uvumilivu
Pamoja na kuwa na mtoto huduma zangu kwa baba ake zipo pale pale kinachonikera ndo hicho nnachokifanya hakionekani walaKuna wanaume wanapenda kufanyiwa zaidi ya watoto. Mkishakuwa na mtoto lazima mume nae ajiongeze coz tayari mke ana jukumu la kulea mtoto (kwa % kubwa). The best thing ni kuongea nae ili kujua wapi anakwazika.
muulize anza leoSi bora angekua anasema sasa kwamba do this do this ye walaaa analalamika tu hunihudumii Uuuh sijui nkapige ramli nijue
Sasa analalamika nini tena jamani. Na huko kulalamika ni tangu kwenye uchumba au kaanza lini? Ni bora mtu aseme tatizo ni A, B, C utajua ujirekebishe vipi. Hakuna kitu kinaumiza kama mtu unajitahidi kufanya kila unachoweza ili mwenzio afurahi, but yeye haridhiki wala kuappreciate. Ni kazi sana kumridhisha binadamu asiye na moyo wa kuridhika. Gelofriend labda tumuombeeYani huwezi amini wala mtoto hajahamisha upendo kwakweli mi najiona ni yule yule, nipo kama zamani
Pamoja na kuwa na mtoto huduma zangu kwa baba ake zipo pale pale kinachonikera ndo hicho nnachokifanya hakionekani wala
Huyo mjamaa ana gubu. Hana lolote.
Paulo jamani, space Watu wapo kwenye ndoa? Mie bf tu aniambie mambo ya space kwa kweli bora anisahau tu.Wala hakuna risk. Wakipeana space, watajua kama wanastahili kuwa pamoja, ama na watu wengine. They could all be right, but not right for each other.
kumtoa out, kumsindikiza asubui anapokwenda kazini kumfanyia suprise unampikia chakula akipendacho unampelekea kazini just like that and much more
Anapokuwa analalamika anakuwa serious au yupo kawaida.Yawezekana analalamika kiutani but hamaanishi ili kukufanya usijisahau sana hasa katika hiki kipindi ambacho mna mtoto.Nnachomaanisha usibase kwa mtoto kiasi yeye umsahau.Hongera mana unajitahidi sana aisee
Teh Teh.....badili gia angani Mwl....Taratibu kidole na hichoooo ohooo mme wangu huyo sio kibuzi maringo
Ha ha ha gelofriend umenifanya nicheke hapo Kweli kukaba lol, hata nikiwa na hasira aisee najitahidi kucontrol ulimi huwa simjibu vibaya sijui kaniloga teh zaidi zaidi naishia kunyamaza na kuliaGelofr hizi nyingine hapa nafanya kuassume tu so usikwazike mwaya
1.Kauli zako je especially ukiwa na hasira? Inawezekana ukawa huwezi kumfokea mbele za watu lakini huku ndani humkwepeshi ( maana gelofriend una tumajibu amazing) " kiboro dinda wee" nk
Afu hapo kwenye space, maana sijasahau kama huwa unakaba hadi notifications teh. Huyo ni mumeo learn to trust him unless kuna Vitu anakuwa anafanya ambavyo huvielewi elewi. Hakuna privacy kati yenu lakini usimkabe hadi ikawa kero, Mpe kauhuru kidogo. Honestly hata mimi sipendi mtu ambaye ananikagua 24/7, nahisi kama siaminiki vile.
Umehisi shem ana tumawasiliano na mtu mwingine huko. Please thibitisha kwanza afu deal kwanza na shem alone (nakuaminia kwa katimbwili amazing), asipoelewa basi ndo msake huyo binti umpe "grand warning". Lakini umekuta tu text ushaanza kumchamba mdada, utakuja kumistake hata na ndugu zake. Inaaibisha muda mwingine
Hahaha maana niliwazapo na hapo teh. Hivi kumbe team kulia lia tupo wengi mweeHa ha ha gelofriend umenifanya nicheke hapo Kweli kukaba lol, hata nikiwa na hasira aisee najitahidi kucontrol ulimi huwa simjibu vibaya sijui kaniloga teh zaidi zaidi naishia kunyamaza na kulia