Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

I know him, najua anaenjoy....kwa nnavomjua anatamani hata mswaki nimpigishe basi tu lol
Duh babu ningekaa na wewe ningekua mguu juu muda wote

Haya bwana. Sasa kinachokupa simanzi ni nini?

hilo jingine pole. Ila natafuta mzungu wa kula naye pensheni. Ukimpata mahali nistue.
 
Mwanaume hata umfanyie nini, kichwa cha chini kikimwambia afanye yake anafanya yake, ila keep it up, dont try soooo hard, it's not healthy, inaonekana kama unafanya hivyo kwa kujihami na kwa kusoma kanuni za kitabuni.

Sifanyi kwa kujihami, kufata kanuni wala nini naona hayo ni majukumu yangu na ni wajibu wangu kuyatekeleza that's all
 
Haya bwana. Sasa kinachokupa simanzi ni nini?

hilo jingine pole. Ila natafuta mzungu wa kula naye pensheni. Ukimpata mahali nistue.

Kinachonipa simanzi ni kulalamika kwake kwa kitu ambacho sioni mantiki ya kulalamikiwa, babu ubaguzi nyerere aliukataa naomba hiyo pensheni ule na mimi
 
Umuhimu wa mtu unaonekana pale anapokuwahayupo nenda likizo kidogo ya hizo shuhuli ataona umuhimu wako
 
Kinachonipa simanzi ni kulalamika kwake kwa kitu ambacho sioni mantiki ya kulalamikiwa, babu ubaguzi nyerere aliukataa naomba hiyo pensheni ule na mimi

Spot on!

Si umesema unayajulia mahitaji yake? Mbona hapa unasema analalamika? Kunakofuka moshi,......

wewe kamuulize tu.

Mambo ya ubaguzi achana nayo. Kanisaidie kama babu na rafiki yako!
 
Spot on!

Si umesema unayajulia mahitaji yake? Mbona hapa unasema analalamika? Kunakofuka moshi,......

wewe kamuulize tu.

Mambo ya ubaguzi achana nayo. Kanisaidie kama babu na rafiki yako!

Unahitaji mzungu wa ngozi au matendo make namie nna kauzungu, nitakuja na mzungu mwingine tuwe watatu
 

Mwanaume, haturidhiki tuu na hayo matatu au uliyotaja ni zaidi ya hayo.

Kuwa creative katika penzi lako. Mambo mapya mapya

Hongera kwa kufanya hayo machache bora ya muhimu.
 

Umesema vema mkuu
 
Ahaa nimekusoma mkuu.
Usiwe na wasiwasi...nipo mwaminifu na mtiifu kwako

sio kule unapohisi mkuu, kule nimewaachia wengine huwezi kuwa na gari linalipakia kila aina ya uchafu harafu wewe ushangilie
 
Inatakiwa mpeana raha...sio kutoa wewe tu...

Ila kibongobongo mwanamke ndio wajitoooooaaa kwa hiyo usishangae

Kuna wengine wanaume ndio wanajitoa kuliko nyie,

Anyway...ingekuwa vema tungepata maelezo ya upande wa pili (shemeji) tungepata kuelewa kwa kina zaidi.

Alafu Evelyn Salt kuna kitu nakiona psychological kwako kwamba unafikiri upo sahihi na kudhani kwamba your 100 correct

Katika hali uliyonayo na unahitaji solution, unatakiwa uliaproach kwa kujishusha na kujiona just like your notdoing good, nadhan unaweza kupata insight fulan fulan za tatizo lililopo.

Maana kwa jinsi ilivyo itlook like wewe umejitoa kuwa part problem, kudhan kwamba umeshaplay your part, kumbe huenda ikawa sio kweli.
 
Last edited by a moderator:
Well you sound like my wife... na nimetulia tuliiij kwake.. raha mustarehe... u look like a woman any man would like to have
 

Mambo madogo hayo... mi mke wangu ka wewe... hatuachagi kulalamika... usiwaze kilakitu..
 
And i hope other women are reading this.. A Reasonable Man would want a wife like this.. its a joy to have one!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…