Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

kama ni kweli unafanya iliyoyasema hongera.... keep it up.
BUT try to talk with him may be he has something he need but he don't get from you..

Akiwa na furaha ndio umuulize, angalia mazingira, ukiona kafurahi nawe ongea nae kimahaba naye atakuambia hitaji lake..

PIA nina wasiwasi na kabila lake maana kuna makabila yanapendwa kunyenyekewa....
 
Malalamiko yake ni yepi?
Haya yakijulikana, ni rahisi kutoa neno/ushauri.
 
Yeyote asiyejua ku"appreciate" inabidi aachwe huru kwanza aende "huko duniani" akakutane na watu wanaotoa treatment mbaya..hii itawasaidia kuelewa na kujali walichonacho wakirudi..
 
Unahitaji mzungu wa ngozi au matendo make namie nna kauzungu, nitakuja na mzungu mwingine tuwe watatu

Hapa sasa unaanza fujo mpenzi wangu Evelyn Salt. Kwani neno mzungu lina utata wowote?

Wewe kaifanye kazi ya babu yako. Kama ni ujira tutaongea. Na kwa ufupi tayari mie na bibi tumeshakubaliana kwenye hii indiscent proposal! Kilichobaki ni utekekelezaji.
 
Last edited by a moderator:
Hapa sasa unaanza fujo mpenzi wangu Evelyn Salt. Kwani neno mzungu lina utata wowote?

Wewe kaifanye kazi ya babu yako. Kama ni ujira tutaongea. Na kwa ufupi tayari mie na bibi tumeshakubaliana kwenye hii indiscent proposal! Kilichobaki ni utekekelezaji.

Nimekuekewa babu, ntakua hata mpiga picha hivo siku
 
Last edited by a moderator:
Nimekuekewa babu, ntakua hata mpiga picha hivo siku

Umejipangia au unaomba hiyo opportunity.....

Hapa ni kazi tu.....wewe malizia hiyo sehemu yako na kama kuna jingine tutajadili na bibi + huyo mzungu tuone kama tunaweza kukupa hata kanafasi kadogo ka kuja kunywa soda!
 
Kuna wengine wanaume ndio wanajitoa kuliko nyie,

Anyway...ingekuwa vema tungepata maelezo ya upande wa pili (shemeji) tungepata kuelewa kwa kina zaidi.

Alafu Evelyn Salt kuna kitu nakiona psychological kwako kwamba unafikiri upo sahihi na kudhani kwamba your 100 correct

Katika hali uliyonayo na unahitaji solution, unatakiwa uliaproach kwa kujishusha na kujiona just like your notdoing good, nadhan unaweza kupata insight fulan fulan za tatizo lililopo.

Maana kwa jinsi ilivyo itlook like wewe umejitoa kuwa part problem, kudhan kwamba umeshaplay your part, kumbe huenda ikawa sio kweli.

Sio kuwa am 100% correct, right and perfect walaaa, najua nna mapungufu yangu na sio kuwa sipendi kuambiwa what I don't like ni kulalamikiwa, tena kulalamikiwa vitu ambavyo sioni kaka vinahitaji kulalamikiwa..... Anyway thanks ntajishusha had nianguke lol
 
Last edited by a moderator:
Yeyote asiyejua ku"appreciate" inabidi aachwe huru kwanza aende "huko duniani" akakutane na watu wanaotoa treatment mbaya..hii itawasaidia kuelewa na kujali walichonacho wakirudi..

Kweli hakuna kitu kizuri kama kuappreciate, nimejifunza pia....
 
Mpe hela best Evelyn Salt hapo tu ndo unapokosea 👅👅👅👅
 
Last edited by a moderator:
Nitafuatilia ila si bure ana ka mchuchu kabsaaaaa.........lkn kuna wakati roho inamsuta kwa yale unamfanyia mwenyewe niko ivo najua siku moja nitafunguka.
 
Teh gelofriend bila shaka hata ye ukimuuliza anaweza kua hajui may be nikupe kamfano kadunchu jana mchana mida ya kula nimemnawisha mikono nikampakulia akaanza kula mara kidume cha mbegu kinazunguka pale (our son) nikamchukua kumlisha daddy kamaliza kula mie namlisha mtoto akaanza kunawa mwenyewe eeh nkashangaa analalamika kuwa anajinawisha mwenyewe simhudumii au nlitakiwa nimuache kidume cha mbegu nimnawishe? Maisha ni magumu mweh.... Kuna vitu vidunchu ila vinaumizaga kichwa unaweza hata usilale unakiwaza tu japo kidogo
Kwakweli kwa mtazamo wangu, naona roles zako km mama unazitekeleza vizuri tu tena unaenda extra extra miles; hongera sana sana kwa hilo km ni kweli. kitu ninachokushauri, endelea hivyo hivyo. Km mmeo ataendelea na vijimalalamiko vyake despite all the efforts unazomfanyie mi nafukiri uignore. Kwa mtazamo wangu; sioni sababu umfulie mwanaume boxer, umwekee maji, umpigie nguo pasi...?!!!, hell no.., i m doing it my self. Mambo mengine ni mambo ya kiswahili jamani hayana tija...mwanaume unanawishwa mikono!!!? Hou ni zaidi ya umwinyi enzi zile za 18 Centuary.
 
kwa jinsi ulivyojieleza inaonesha unaplay part yako kama mwanamke,ila kwa hayo malalamishi yake jaribu kumuuliza labda ni vitu gani angependa afanyiwe na vipi asingependa,talk to him
 
Nakushauri uichunge bahari kwa umakini zaidi. Kuna ladha inachafua maji toka upande wa beach pori.

Na mimi nimewaza pia,nikasema anyway,acha nisimtie kihoro bibie ES,shem anataka kutumia ile kanuni"ukitaka kumuua mbwa wako mpe jina baya" nimewaza tu.
 
Nadhani keshapewa na ndiyo maana jamaa analalamika bila kuchukua hatua kama tunavyofanyaga...lol!
Kweli kabisa yani jamaa pamoja na kulalamika lakini anashindwa kubadili gia angani!
 
Es, Naomb Nkup T Ka Mfano Rahs Kuna Rafk Angu Mmja Nahs Anaendan Tabia Na Baba Kidume Yey Ananawishwa Mkiono Anapigiwa Magot Mpaka Anapo Malza Kunawa Anakaribishwa, Anasalimiwa Shikamoo Tna Ana Mzid Mkewe 2yrs Lakin Huyu Ndgu Rafik Haridhk Akimuon Mke Wake Tmefika Si Rafik Zake Yan Ma Shemej Mke Wake Ajatwambia Shikamoo Panachimbika Hap Hap ....Hi Inaonesha Mioyo Ya Si Madume Hairidhk Wala Haina Shukran Mvumilie T Ivo Ivo Ukishndwa Hebu Mkaushie Wik Nzima Ufany Mamb Ya Kawaida T Kam Ktandka Kitanda Kumpa Dudu Usku Il Usimjal Lazma Atakuulza T Kama Sio Paqiao Hat Kudunda , Hap Ndo Utamwambia Unajitahd Sana Kufanya Mamb Kwa Kadr Uwezavyo Ila Hana Shukran Sas Moyo Wak Umechoka ,nahakika Atajirekebisha
 
Back
Top Bottom