Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka pichaTukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?
..Mwanche aanguke amesaidia nini shule, hospitali au jamii?
Huu mwandiko naujua kabisa broh [emoji28][emoji28]Hii thread ya kichawi ina miaka minne sasa..watu wakamponda kijana wetu mara oh show hawezi kupiga tena kwa milioni kumi kashachuja Mond anawasalimia jamani show yake ya chini ni millioni 80,Pia msisahau ndio dominator wa game la muziki Afrika Mashariki na vinginevyo uchawi acheni jamani nyie watoto wadogo
Teoops ya diamond fans wanakuja hapa , tegemea mawe 🤣🤣🤣Tukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?
Jibu zuri kabisa Kwa mleta mada.Dah we jamaa we,inawezekana kweli anatoa nyimbo mbovu kama unavodai,lakini huoni kwamba jamaa licha ya kutoa izo nyimbo unazoziiita mbovu bado anaendelea kuwa juu?jibu dogo tu jamaa inawezekana hajui mziki km usemavyo lkn,jamaaa anaijua vyema biashara ya mziki na industry inavokwenda kwa ujumla!sasa ww endelea tu na tuhuma zako za kila siku kuhusu eti anguko lake...nazani hii kauli ya Anguko mtaendelea kuisema uku pia mkishuhudia jamaa anazeeka akiwa bdo star anayehit akiwa na heshima kubwa sna ndani na nje ya tz...@jeutanipendaga?
Ni hatari sanaJibu zuri kabisa Kwa mleta mada.
Nothing lasts forever mkuu iko hivyoToa upumbavu wako hapa,takataka
Nothing lasts foreverTukiachana na ushabiki Diamond siku hizi kaishiwa kabisa no ubunifu yaan ukisikiliza nyimbo anazotoa siku izi na zile za kitambo kuna utofauti mkubwa mno coz siku izi anatoa nyimbo mbovu sana na kinachombeba na kuendelea kusikika ni kuwa na fan base kubwa na video za god father lasivyo...?