KattUmenikumbusha mbali kwenye kudoji afu unauandaa mwili maana hilo doso lake after si mchezoo utachakaa yaani. Shikamoo Jeshi na ni jkt mujibu tu ila sitosahau[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana medani kiaje? Moro Kuna 92 ambao ni CDO, Kuna 121 field engineer, kuna kinonko, kuna SKU, kuna air force. Medani gani labda unayoizungumzia mkuuTena ni bora ukosee Kuingia Kambi zote zilizopo Tanzania nzima lakini siyo zilizoko Mkoani Morogoro. Wana Medani ( Wajeda ) hapa nadhani mtakuwa mmenielewa kile ninachomaanisha japo Mimi ni Raia Mzalendo wa Kitanzania.
Huyo polisi itakuwa ni nanga!Kuna Askari Polisi Mmoja alikuwa anakimbizana na Mvuta Bangi ambapo Yule Mvuta Bangi akaamua Kukimbilia ndani ya Kambi moja ya Jeshi na kwa Ujuha wa Yule Askari Polisi masikini ya Mungu akaingia tena na Sare zake pamoja na Silaha humo Kambini na Kuanza Kupiga Risasi hewani ili Kumtisha Yule Mvuta Bangi na kilichotokea hapo hasa kwa huyo Askari Polisi naambiwa tokea tukio hilo limtokee sasa ni Mwezi wa Tatu na kama ni Kuanza kupata Haja Kubwa ( Kunya ) basi atakuwa ama kaanza Jana au Leo ila alikuwa hawezi hata Kunya kwa Adhabu alizopewa ambazo huko Chuoni Kwao Moshi hawajawahi na hawatowahi Kukumbana nazo.
muda utasema MzukuluYanga FC anafungwa Goli / Bao 2 kwa 0 na Magoli yote hayo yatafungwa katika kila Kipindi. Labda tu Upepo ubadilike au Yanga FC waamue Kumtoa Kafara ya Kifo Mmoja wa Viongozi wao Wakuu hasa wale Wawili. Na wakija Kichwa Kichwa wanaweza hata Kufungwa idadi ya hizo Bao / Goli nilizozitaja hapa Mdau.
Aibu ipo kwako raia wa kawaida Lakini jeshini Hakuna aibu. Sasa jiulize mwenzake kamfanyie vile je wewe atakufanya nini.Ilikuwa ni mida ya Saa 5 asubuhi kuelekea Saa 6 mchana ambapo Mzukulu nilikuwa napita zangu ndipo nikashikwa na butwaa hadi Masikitiko makubwa baada ya kuona Kijana (nadhani alikuwa nae ni Askari) akiwa amelazwa chini katika Geti la Kuingilia TPDF Golf Club huku amebebeshwa bonge la chuma na Kuambiwa alinyanyue juu huku anayemwambia hivyo akiwa anafagia zake taratibu Kuzunguka kile Kibanda cha Walinzi.
Sikatai na wala sipingani na utaratibu wa JWTZ (TPDF) katika kuwaadabisha kwa kuwapa Adhabu Maaskari (Wanajeshi) wao kwani najua ni kitu cha kawaida Kwao na kwa Majeshi mengi duniani ila kilichonisikitisha Mimi ni Mazingira husika ya tukio lenyewe ambapo kwa uelewa wangu (na hapa nakaribisha kukosolewa) nadhani halikuwa na uungwana na ni kama vile lilikuwa la kukomoa vile.
Kwanza Mhusika alikuwa akihenyeshwa hivyo Getini kabisa (tena Geti Kuu) la Kuingilia TPDF Golf Club halafu katika Kuonyesha kuwa mtoa hiyo adhabu alikuwa na lake jambo alikuwa kama akiona wanaopita nje (Raia) ni wanaume alikuwa anamwambia ainue lile chuma na atulie nalo tuli lakini akiona tu raia wanaopita nje ni akina dada basi Mtoa adhabu ndiyo alikuwa anapata Morali (Moto) wa kumuamrisha na kumuadabisha yule askari kiasi kwamba nilijisikia vibaya mno.
Hivi huyo mtoa adhabu alishindwa nini kumuadhibu yule Afande sehemu nyingine ambayo wangekuwa wao wawili tu au kule nyuma ambako watu huwa hawapiti ili aweze kumuhenyesha vizuri kuliko kuja kumhenyesha askari pale getini kabisa ambako kila mtu alikuwa akimuona (hasa Sisi Raia) akina Mzukulu kiasi kwamba nahisi yule afande mhenyeshwaji alijisikia vibaya sana?
Na sijui yule askari aliyekuwa akihenyeshwa vile alifanya nini masikini ya Mungu. Kweli cha moto askari kakiona na kakoma!
Chief dakika 45 zote za nini hizo, ukutane na mnaa dakika 15 tu kama hujazirai basi hupo duniani wala akhera! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si bora hiyo kuliko extra drill? Ogopa sana usainiwe dk.45 za maangamizi, mara nyingi wengi wakitoka hapo huwa wanabebwa maana uwezo wa kutembea unakua mdogo. Ndio maana MP na namba kumi sio watu wakua na urafiki nao kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Etiiii???kwa ushauri kama huu we jamaa una roho mbaya kuliko shetani!!Mwanaharakati wa mitandaoni... We ni keyboard na dole gumba tu.
Umeshindwa kumchana kamanda aache ile tabia, unamuacha unakuja kutuchana sisi.. Sasa si tunafanya vipi mkuu!???
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo polisi itakuwa ni nanga!
Hakuna mwanajeshi atekayeweza kunifanya chochote.It's better shooting me to death than beating my body au kunihenyesha.
5/5
SafiSakasaka Mao, Kuna watu wanalipa visaai kwa aina. Kuna jamaa yangu ni jeuri kweli huko kamvini kwao sasa siku moja ndugu zake walikuja kumtenbelea kufika getini wakafanyishwa usafi jamaa ile anapota akawakuta akamuuliza mshikaji hivi kweli unawanyanyasa ndugu zangu wakati wamekwambia wanakuja kwangu?
Basi jamaa akawachukua ndugu zake akasepa, ila moyoni akaapa kulipa kisasi.
Siku ya siku yuko getini ndugu ya zake na yule jamaa tena wa heshima wakafika mshikaji akawakamatisha fyekeo.
Jamaa alivyopata taarifa akaja mbio huku analalama aliposogea kutaka kuwatoa ndugu zake fykeo, yule mshikaji akaziweka chemba, akamwambi sogea nikumiminie.
Jamaa hakuwa na ujanja ndugu zake walifyeka mpaka jioni
God save us
Ni sehemu ya mafunzo. Hadhabu kwa mwanajeshi yeyote ni sehemu ya mafunzo.
Sent using Jamii Forums mobile app