Nalipenda sana Jeshi langu la JWTZ ila nilichokiona jana pale TPDF Golf Club getini kabisa hakikuwa cha kiungwana

Nalipenda sana Jeshi langu la JWTZ ila nilichokiona jana pale TPDF Golf Club getini kabisa hakikuwa cha kiungwana

Tena ni bora ukosee Kuingia Kambi zote zilizopo Tanzania nzima lakini siyo zilizoko Mkoani Morogoro. Wana Medani ( Wajeda ) hapa nadhani mtakuwa mmenielewa kile ninachomaanisha japo Mimi ni Raia Mzalendo wa Kitanzania.
Wana medani kiaje? Moro Kuna 92 ambao ni CDO, Kuna 121 field engineer, kuna kinonko, kuna SKU, kuna air force. Medani gani labda unayoizungumzia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Askari Polisi Mmoja alikuwa anakimbizana na Mvuta Bangi ambapo Yule Mvuta Bangi akaamua Kukimbilia ndani ya Kambi moja ya Jeshi na kwa Ujuha wa Yule Askari Polisi masikini ya Mungu akaingia tena na Sare zake pamoja na Silaha humo Kambini na Kuanza Kupiga Risasi hewani ili Kumtisha Yule Mvuta Bangi na kilichotokea hapo hasa kwa huyo Askari Polisi naambiwa tokea tukio hilo limtokee sasa ni Mwezi wa Tatu na kama ni Kuanza kupata Haja Kubwa ( Kunya ) basi atakuwa ama kaanza Jana au Leo ila alikuwa hawezi hata Kunya kwa Adhabu alizopewa ambazo huko Chuoni Kwao Moshi hawajawahi na hawatowahi Kukumbana nazo.
Huyo polisi itakuwa ni nanga!
Hakuna mwanajeshi atekayeweza kunifanya chochote.It's better shooting me to death than beating my body au kunihenyesha.

5/5
 
Rule no.1 always commander is right.
Rule no.2 refer rule no.1
 
Yanga FC anafungwa Goli / Bao 2 kwa 0 na Magoli yote hayo yatafungwa katika kila Kipindi. Labda tu Upepo ubadilike au Yanga FC waamue Kumtoa Kafara ya Kifo Mmoja wa Viongozi wao Wakuu hasa wale Wawili. Na wakija Kichwa Kichwa wanaweza hata Kufungwa idadi ya hizo Bao / Goli nilizozitaja hapa Mdau.
muda utasema Mzukulu
 
Acheni kutufunga kamba hapa unajua raia tunadanganywa sana,,zamani tulikuwa tunaambiwa mwanamke aruhusiwi kuwa mwanajeshi kumbe uongo mtupu,,,Mara ooh wanajeshi 2 wanaweza kubeba gari kumbe ujinga mtupu,,Mara oooh wanajeshi wanajua ngumi wakati wanachapwa kila siku na raia... Mdogo wangu ni askari yuko jeshini huko lkn sioni kama ana dalili za kunimudu hata dk 2 kwenye ngumu,,,wapo wengi tu huko hawana lolote zaidi ya kuvaa baka baka tu.
 
Ilikuwa ni mida ya Saa 5 asubuhi kuelekea Saa 6 mchana ambapo Mzukulu nilikuwa napita zangu ndipo nikashikwa na butwaa hadi Masikitiko makubwa baada ya kuona Kijana (nadhani alikuwa nae ni Askari) akiwa amelazwa chini katika Geti la Kuingilia TPDF Golf Club huku amebebeshwa bonge la chuma na Kuambiwa alinyanyue juu huku anayemwambia hivyo akiwa anafagia zake taratibu Kuzunguka kile Kibanda cha Walinzi.

Sikatai na wala sipingani na utaratibu wa JWTZ (TPDF) katika kuwaadabisha kwa kuwapa Adhabu Maaskari (Wanajeshi) wao kwani najua ni kitu cha kawaida Kwao na kwa Majeshi mengi duniani ila kilichonisikitisha Mimi ni Mazingira husika ya tukio lenyewe ambapo kwa uelewa wangu (na hapa nakaribisha kukosolewa) nadhani halikuwa na uungwana na ni kama vile lilikuwa la kukomoa vile.

Kwanza Mhusika alikuwa akihenyeshwa hivyo Getini kabisa (tena Geti Kuu) la Kuingilia TPDF Golf Club halafu katika Kuonyesha kuwa mtoa hiyo adhabu alikuwa na lake jambo alikuwa kama akiona wanaopita nje (Raia) ni wanaume alikuwa anamwambia ainue lile chuma na atulie nalo tuli lakini akiona tu raia wanaopita nje ni akina dada basi Mtoa adhabu ndiyo alikuwa anapata Morali (Moto) wa kumuamrisha na kumuadabisha yule askari kiasi kwamba nilijisikia vibaya mno.

Hivi huyo mtoa adhabu alishindwa nini kumuadhibu yule Afande sehemu nyingine ambayo wangekuwa wao wawili tu au kule nyuma ambako watu huwa hawapiti ili aweze kumuhenyesha vizuri kuliko kuja kumhenyesha askari pale getini kabisa ambako kila mtu alikuwa akimuona (hasa Sisi Raia) akina Mzukulu kiasi kwamba nahisi yule afande mhenyeshwaji alijisikia vibaya sana?

Na sijui yule askari aliyekuwa akihenyeshwa vile alifanya nini masikini ya Mungu. Kweli cha moto askari kakiona na kakoma!
Aibu ipo kwako raia wa kawaida Lakini jeshini Hakuna aibu. Sasa jiulize mwenzake kamfanyie vile je wewe atakufanya nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana! Nadhani umesahau ule usemi wa wahenga usemao "Mambo ya ngoswe muachie ngoswe!"

ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
 
Si bora hiyo kuliko extra drill? Ogopa sana usainiwe dk.45 za maangamizi, mara nyingi wengi wakitoka hapo huwa wanabebwa maana uwezo wa kutembea unakua mdogo. Ndio maana MP na namba kumi sio watu wakua na urafiki nao kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief dakika 45 zote za nini hizo, ukutane na mnaa dakika 15 tu kama hujazirai basi hupo duniani wala akhera! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
 
Kwa sie ambao tuliowahi kukaa karibu na maeneo ya jeshi ngoja leo niwape kitu.
Ukipita eneo la jeshi then ukikamatwa na mwanajeshi, jifanye bwege wala usijifanye kujua sana akikwambia fanya hivi we fanya ila kama huwezi mwambie siwezi au nilifanyiwa upasuaji ili kujinusuru lakini sio kujifanya mjuaji, ili yasiye kukukuta kama yule mzee aloambiwa ahamishe tofali lakini kwa ujuaji wake na kufahamiana na mkuu wa kambi yakamkuta makubwa wakati anamalizia alichoambiwa akifanye.
Stori ilikuwa hivi:
Mzee alikamatwa na wanajeshi na kuambiwa ahamishe tofali 500 kutoka sehemu moja kwenda nyingine, wakati akiendelea na zoezi hilo akakumbuka kuwa anafahamiana na mkuu wa kambi, hivyo akampigia simu, huku akiwa ameshahamisha tofali kama 450, basi mkuu wa kambi akawapigia simu vijana wake kuwa huyo mzee azirudishe tofali zilipokuwa [emoji38][emoji38][emoji38]sasa zilikuwa zimebaki 50 lakini kwa ujuaji wake ikambidi azirudishiee zile 450. Wakati angemaliza 50 zilizobaki na kuendelea na mambo yake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
 
Mwanaharakati wa mitandaoni... We ni keyboard na dole gumba tu.

Umeshindwa kumchana kamanda aache ile tabia, unamuacha unakuja kutuchana sisi.. Sasa si tunafanya vipi mkuu!???

Sent using Jamii Forums mobile app
Etiiii???kwa ushauri kama huu we jamaa una roho mbaya kuliko shetani!!
Ulitaka aoge miche mitatu ya sabuni kwenye maji ya kisado hadi sabuni iishe??
 
Huyo polisi itakuwa ni nanga!
Hakuna mwanajeshi atekayeweza kunifanya chochote.It's better shooting me to death than beating my body au kunihenyesha.

5/5

Acha Kujimwambafai hapa tafadhali kwani hakuna asiyejua kuwa kama kuna Watu ambao mnaongoza kwa Kuteswa, Kuonewa, Kupigwa na Waoga kwa Wanajeshi ni nyie Mapolisi.
 
Ya jeshini waachie wanajeshi.
Kuna askari jirani yetu aliwakusanya familia yake na jirani zake kwenda kupata chanjo ya ugonjwa wa uti wa mgongo hospitali ya jeshi bure.
Ile wamefika tu getini kaambiwa chuchumaa chini, akarushwa kichura chura, kaburuzwa sana mbele ya mkewe, watoto na jirani.
Sasa sijui alifanya kosa gani kabla!
 
Sakasaka Mao, Kuna watu wanalipa visaai kwa aina. Kuna jamaa yangu ni jeuri kweli huko kamvini kwao sasa siku moja ndugu zake walikuja kumtenbelea kufika getini wakafanyishwa usafi jamaa ile anapota akawakuta akamuuliza mshikaji hivi kweli unawanyanyasa ndugu zangu wakati wamekwambia wanakuja kwangu?

Basi jamaa akawachukua ndugu zake akasepa, ila moyoni akaapa kulipa kisasi.

Siku ya siku yuko getini ndugu ya zake na yule jamaa tena wa heshima wakafika mshikaji akawakamatisha fyekeo.

Jamaa alivyopata taarifa akaja mbio huku analalama aliposogea kutaka kuwatoa ndugu zake fykeo, yule mshikaji akaziweka chemba, akamwambi sogea nikumiminie.

Jamaa hakuwa na ujanja ndugu zake walifyeka mpaka jioni

God save us
Safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom