Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 680
- 421
Ukute hakufanya kosa kubwa kihiivyo lisilowezekana kusameheka, ila basi tu hii ni dunia ya Samaki mkubwa kumla mdogo...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza umesema hauna uhakika kama ni askari,lakini ulivoendelea ni kama umethibitisha tayari ni askari,vipi kama ni raia tu? Mimi naona ya Ngoswe tumuachie Ngoswe tu mkuu.Ilikuwa ni mida ya Saa 5 asubuhi kuelekea Saa 6 mchana ambapo Mzukulu nilikuwa napita zangu ndipo nikashikwa na butwaa hadi Masikitiko makubwa baada ya kuona Kijana (nadhani alikuwa nae ni Askari) akiwa amelazwa chini katika Geti la Kuingilia TPDF Golf Club huku amebebeshwa bonge la chuma na Kuambiwa alinyanyue juu huku anayemwambia hivyo akiwa anafagia zake taratibu Kuzunguka kile Kibanda cha Walinzi.
Sikatai na wala sipingani na utaratibu wa JWTZ (TPDF) katika kuwaadabisha kwa kuwapa Adhabu Maaskari (Wanajeshi) wao kwani najua ni kitu cha kawaida Kwao na kwa Majeshi mengi duniani ila kilichonisikitisha Mimi ni Mazingira husika ya tukio lenyewe ambapo kwa uelewa wangu (na hapa nakaribisha kukosolewa) nadhani halikuwa na uungwana na ni kama vile lilikuwa la kukomoa vile.
Kwanza Mhusika alikuwa akihenyeshwa hivyo Getini kabisa (tena Geti Kuu) la Kuingilia TPDF Golf Club halafu katika Kuonyesha kuwa mtoa hiyo adhabu alikuwa na lake jambo alikuwa kama akiona wanaopita nje (Raia) ni wanaume alikuwa anamwambia ainue lile chuma na atulie nalo tuli lakini akiona tu raia wanaopita nje ni akina dada basi Mtoa adhabu ndiyo alikuwa anapata Morali (Moto) wa kumuamrisha na kumuadabisha yule askari kiasi kwamba nilijisikia vibaya mno.
Hivi huyo mtoa adhabu alishindwa nini kumuadhibu yule Afande sehemu nyingine ambayo wangekuwa wao wawili tu au kule nyuma ambako watu huwa hawapiti ili aweze kumuhenyesha vizuri kuliko kuja kumhenyesha askari pale getini kabisa ambako kila mtu alikuwa akimuona (hasa Sisi Raia) akina Mzukulu kiasi kwamba nahisi yule afande mhenyeshwaji alijisikia vibaya sana?
Na sijui yule askari aliyekuwa akihenyeshwa vile alifanya nini masikini ya Mungu. Kweli cha moto askari kakiona na kakoma!
Hahaaaa angemchana huyo afande sidhani hata angepata nguvu ya kupost huu umbeaMwanaharakati wa mitandaoni... We ni keyboard na dole gumba tu.
Umeshindwa kumchana kamanda aache ile tabia, unamuacha unakuja kutuchana sisi.. Sasa si tunafanya vipi mkuu!???
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh mtoa mada atakua ni yeye sema amekuja kwa gia ya mpita njiaIlikuwa ni mida ya Saa 5 asubuhi kuelekea Saa 6 mchana ambapo Mzukulu nilikuwa napita zangu ndipo nikashikwa na butwaa hadi Masikitiko makubwa baada ya kuona Kijana (nadhani alikuwa nae ni Askari) akiwa amelazwa chini katika Geti la Kuingilia TPDF Golf Club huku amebebeshwa bonge la chuma na Kuambiwa alinyanyue juu huku anayemwambia hivyo akiwa anafagia zake taratibu Kuzunguka kile Kibanda cha Walinzi.
Sikatai na wala sipingani na utaratibu wa JWTZ (TPDF) katika kuwaadabisha kwa kuwapa Adhabu Maaskari (Wanajeshi) wao kwani najua ni kitu cha kawaida Kwao na kwa Majeshi mengi duniani ila kilichonisikitisha Mimi ni Mazingira husika ya tukio lenyewe ambapo kwa uelewa wangu (na hapa nakaribisha kukosolewa) nadhani halikuwa na uungwana na ni kama vile lilikuwa la kukomoa vile.
Kwanza Mhusika alikuwa akihenyeshwa hivyo Getini kabisa (tena Geti Kuu) la Kuingilia TPDF Golf Club halafu katika Kuonyesha kuwa mtoa hiyo adhabu alikuwa na lake jambo alikuwa kama akiona wanaopita nje (Raia) ni wanaume alikuwa anamwambia ainue lile chuma na atulie nalo tuli lakini akiona tu raia wanaopita nje ni akina dada basi Mtoa adhabu ndiyo alikuwa anapata Morali (Moto) wa kumuamrisha na kumuadabisha yule askari kiasi kwamba nilijisikia vibaya mno.
Hivi huyo mtoa adhabu alishindwa nini kumuadhibu yule Afande sehemu nyingine ambayo wangekuwa wao wawili tu au kule nyuma ambako watu huwa hawapiti ili aweze kumuhenyesha vizuri kuliko kuja kumhenyesha askari pale getini kabisa ambako kila mtu alikuwa akimuona (hasa Sisi Raia) akina Mzukulu kiasi kwamba nahisi yule afande mhenyeshwaji alijisikia vibaya sana?
Na sijui yule askari aliyekuwa akihenyeshwa vile alifanya nini masikini ya Mungu. Kweli cha moto askari kakiona na kakoma!
Hivyo ni vitu vya kawaida kabisa kwenye majeshi yote duniani, kwa hiyo hakuna cha ajabu hapoNdugu Mzukulu siku nyingine uache Jeuri kwa Wakubwa Zako, kilichokuuma ni kunyooshwa mbele ya mademu
Sasa jamaa si akujua mshikaji alilokuwa nalo moyoni[emoji3][emoji3][emoji3] ,inabidi kuwapiga stop tu nduguzo kuja kukutembelea aisee, hizo fedheha mmh
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli ,jeshi ni akili na maarifa,hiyo ya nguvu ni majeshi yale MIAKA YA 47Jeshi ni nguvu 99%.....
Acheni kutufunga kamba hapa unajua raia tunadanganywa sana,,zamani tulikuwa tunaambiwa mwanamke aruhusiwi kuwa mwanajeshi kumbe uongo mtupu,,,Mara ooh wanajeshi 2 wanaweza kubeba gari kumbe ujinga mtupu,,Mara oooh wanajeshi wanajua ngumi wakati wanachapwa kila siku na raia... Mdogo wangu ni askari yuko jeshini huko lkn sioni kama ana dalili za kunimudu hata dk 2 kwenye ngumu,,,wapo wengi tu huko hawana lolote zaidi ya kuvaa baka baka tu.
Afande mbona mnatuoneshaga mabavu sisi RAIA tuwaogope kuliko kutumia akili rejea hoja ya mleta mada au kwenye sherehe za Uhuru mambo ya kuvunja matofari....mbao.Sio kweli ,jeshi ni akili na maarifa,hiyo ya nguvu ni majeshi yale MIAKA YA 47
Lile eneo huwa lina smart area, na pembeni yake huwa kuna MP. Hivyo, ujue alikosea kitu na eneo la adhabu ni hapo maana ndiyo palipo na MPKambi nyingi ofisi za MPs ziko getini, ulitaka wakampe adhabu mbali na ofisi yao kwa kumuogopa nani kwa mfano, mnataka kuanza kuleta siasa na jeshini?
Sent using Jamii Forums mobile app