Nalipenda sana Jeshi langu la JWTZ ila nilichokiona jana pale TPDF Golf Club getini kabisa hakikuwa cha kiungwana

Kwanza umesema hauna uhakika kama ni askari,lakini ulivoendelea ni kama umethibitisha tayari ni askari,vipi kama ni raia tu? Mimi naona ya Ngoswe tumuachie Ngoswe tu mkuu.
NB; Next time jaribu kumuuliza mtoa adhabu ili uje na story kamili mkuu (joking ).
macson
 
Mwanaharakati wa mitandaoni... We ni keyboard na dole gumba tu.

Umeshindwa kumchana kamanda aache ile tabia, unamuacha unakuja kutuchana sisi.. Sasa si tunafanya vipi mkuu!???

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa angemchana huyo afande sidhani hata angepata nguvu ya kupost huu umbea
 
Teh teh mtoa mada atakua ni yeye sema amekuja kwa gia ya mpita njia
 
Haa unafrahisha mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli ,jeshi ni akili na maarifa,hiyo ya nguvu ni majeshi yale MIAKA YA 47
Afande mbona mnatuoneshaga mabavu sisi RAIA tuwaogope kuliko kutumia akili rejea hoja ya mleta mada au kwenye sherehe za Uhuru mambo ya kuvunja matofari....mbao.
 
Nilishaendaga sana pale Jkt Mgulani,mbona wajeda wa mule ndani wako peace sana ama kwa kuwa ndani mule kuna huduma za kijamii kama shule ya Jitegemee,chuo cha ufundi na shule ya driving school,Nilikuwa naingiaga mule nazurura vile nitakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…