johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nichukie fursa hii kulipongeza Kanisa moja takatifu Catholico na Apostoliko kwa kutojihusisha na siasa za uchaguzi na badala yake limekuwa likiwaombea viongozi wetu na taifa kwa ujumla.
Nalipongeza sana Kanisa Katoliki na Anglikana kwa kusimama katika nafasi yake nyakati hizi.
Na kipekee nimpongeze mzee wangu wa Kanisa pale St. Alban Prof Palamagamba Kabudi kwa kutoa utumishi uliotukuka katika serikali ya Awamu ya 5.
Nawatakia watanzania wote uchaguzi mwema.
Maendeleo hayana vyama!
Nalipongeza sana Kanisa Katoliki na Anglikana kwa kusimama katika nafasi yake nyakati hizi.
Na kipekee nimpongeze mzee wangu wa Kanisa pale St. Alban Prof Palamagamba Kabudi kwa kutoa utumishi uliotukuka katika serikali ya Awamu ya 5.
Nawatakia watanzania wote uchaguzi mwema.
Maendeleo hayana vyama!