OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN