Naliulizia beki la CHAN Mamadou, sio kwa ubaya lakini

Naliulizia beki la CHAN Mamadou, sio kwa ubaya lakini

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
images.jpeg-1.jpg


KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.

Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.

Liko wapi beki la CHAN
 
Lkn bado yupo kwenye program ya Prof Nabi ili kumuingiza kwenye mfumo wake. Ikumbukwe Prof Nabi anamtengeneza mchezaji the way inavyotakiwa
Huyu Nabi aliyefukuzwa El Mereikh baada ya kufungwa na Simba?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
MamaDou bonge is beki tulieni tuuu....muda mwalim mzuri sana usimalize maneno
 
Back
Top Bottom