ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Yupo LubumbashiMbona kama unajishtukia. Yuko wapi beki wa CHAN. Upo kwenye uzi kama unaoga nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo LubumbashiMbona kama unajishtukia. Yuko wapi beki wa CHAN. Upo kwenye uzi kama unaoga nje
Huko hamtatoboaSimba inafikiria Super League
Hivi sio wewe uliyewalinganisha Kibu D na Mayele? 😅😅😅😅View attachment 2572254
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN
ila hela tutapiga 😂Huko hamtatoboa
nenda kwenye app ya yanga uraona jinsi hilo beki linavyopigishwa tiziView attachment 2572254
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN
View attachment 2572254
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN
Ni huyo huyo. Ila kwa sasa ameifunga Simba mara nyingi zaidiHuyu Nabi aliyefukuzwa El Mereikh baada ya kufungwa na Simba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namimi naulizwa wapi chezaji la kombe la Dunia?View attachment 2572266
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usajili wa caf[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2572269
Wee wa buku buku mbna hawashiriki??Utahira mwingine bana!! Super ligi kwa wachezaji wa mia mia?. Puuzi ....
Walikosea ni CUF ya Lipumba 😀😀Usajili wa caf[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2572269
Bacca mbona hukuwahi muulizia?Tumeuliza alipo sio kwa ubaya,mbona kama mnajishtukia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahh naskia kazi yake ni kuchunga gombe la kalala
zaidi ya 5-0 ?Ni huyo huyo. Ila kwa sasa ameifunga Simba mara nyingi zaidi
inakuhusu nini wewe suala doumbia?View attachment 2572254
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN
Hamna mchezaji humo matakataka matupu,kwanini hakupangwa dhidi ya Simba au wale ruvu shooting ya songea kule losers cup???Ndunduka muda wa kushona mdomo, beki la kazi linakiwasha
Unateseka ukiwa wapi? Mwalimu ndiyo anapanga kulingana na mfumo anaotaka? Yanga kikosi kipana, mwenye uhakika wa kuanza ni Mayele na Diara tu.Hamna mchezaji humo matakataka matupu,kwanini hakupangwa dhidi ya Simba au wale ruvu shooting ya songea kule losers cup???