OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Doumbia ni mchezaji mzuri sanaLabani og Tate Mkuu Numbisa dr namugari UMUGHAKA na wengineo mnaitwa hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu Nabi aliyefukuzwa El Mereikh baada ya kufungwa na Simba?Lkn bado yupo kwenye program ya Prof Nabi ili kumuingiza kwenye mfumo wake. Ikumbukwe Prof Nabi anamtengeneza mchezaji the way inavyotakiwa
Okrah amecheza mechi kadhaa ikiwemo kumfunga Djigui Diara goli la tobo aka tigoNamimi naulizwa wapi chezaji la kombe la Dunia?
Na alivyokuja Yanga akainyang'anya Simba makombe yote??Huyu Nabi aliyefukuzwa El Mereikh baada ya kufungwa na Simba?
Simba inafikiria Super LeagueNa alivyokuja Yanga akainyang'anya Simba makombe yote??
Halafu mkishamaliza kufikiria super league nini kinafuata??Simba inafikiria Super League
Huyo huyo anae kugonga kila ukiweka mguu uwanjaniHuyu Nabi aliyefukuzwa El Mereikh baada ya kufungwa na Simba?
Huyu huyu kiboko ya Simba!Huyu Nabi aliyefukuzwa El Mereikh baada ya kufungwa na Simba?
Unajadili mada ipi. Hizi akili zingine aiseeNamimi naulizwa wapi chezaji la kombe la Dunia?View attachment 2572266
Fikilia hata kombe la dunia ila kipigo hakikwepekiSimba inafikiria Super League
Sare?Huyo huyo anae kugonga kila ukiweka mguu uwanjani
Sio fikilia, tatizo Yanga wengi hawajasomaFikilia hata kombe la dunia ila kipigo hakikwepeki
Tumeuliza alipo sio kwa ubaya,mbona kama mnajishtukiaMamaDou bonge is beki tulieni tuuu....muda mwalim mzuri sana usimalize maneno
Kapambane na hasara ya Mo mambo ya watu yatakukwamishaUnajadili mada ipi. Hizi akili zingine aisee