Utahira mwingine bana!! Super ligi kwa wachezaji wa mia mia?. Puuzi ....Simba inafikiria Super League
Ukereke tu, maana ukitaka kuiudhi CAF iguse SimbaHalafu mkishamaliza kufikiria super league nini kinafuata??
Uliyesoma hujui hata kuandikaπ !!!.Sio fikilia, tatizo Yanga wengi hawajasoma
Kheri Nyinyi wasomi mnaongozwa na Mangungu [emoji23][emoji23]Sio fikilia, tatizo Yanga wengi hawajasoma
Sasa nimekosea wapi? Au hujagundua hiyo 'fikilia' nilikuwa namnukuu utopolo mwenzako? πUliyesoma hujui hata kuandikaπ !!!.
Fikilia hata kombe la dunia ila kipigo hakikwepeki
Sasa hivi furaha yenu ni kutukera na siyo kuchukua makombe tena??[emoji848][emoji848]Ukereke tu, maana ukitaka kuiudhi CAF iguse Simba
Sasa hutaki? CAF ndio wameamua, na hao hao wachezaji wa mia mia hawakutolewa Champions League kuangukia shirikisho πππUtahira mwingine bana!! Super ligi kwa wachezaji wa mia mia?. Puuzi ....
Yuko avic townTumeuliza alipo sio kwa ubaya,mbona kama mnajishtukia
Uliyesoma hujui hata kuandikaSio fikilia, tatizo Yanga wengi hawajasoma
Aliyesoma hawezi andika kitu bila kuweka alama za uandishi foolish waheedi!!.Sasa nimekosea wapi? Au hujagundua hiyo 'fikilia' nilikuwa namnukuu utopolo mwenzako? π
Kila mtu ana furaha yake, usimpangie! Tuna furaha kucheza Champions League huku tukiwakera walioshindwa wakaangukia shirikisho πSasa hivi furaha yenu ni kutukera na siyo kuchukua makombe tena??[emoji848][emoji848]
Ok endeleeni kutukera sisi ngoja tuendelee kubeba makombe
Vipi lokole nini maana sio kwa....!!.Sasa hutaki? CAF ndio wameamua, na hao hao wachezaji wa mia mia hawakutolewa Champions League kuangukia shirikisho πππ
Wewe unachojivunia ni kusoma kurani ambayo hata Manara anaiweza πAliyesoma hawezi andika kitu bila kuweka alama za uandishi foolish waheedi!!.
Muda wake wa kucheza ukifika, atacheza tu. Na bahati nzuri Yanga ina kikosi kipana, na mwalimu ndiye mwenye maamuzi ya kupanga kikosi.
Tupo bize raja usi tutoe kwenye reliView attachment 2572254
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN
Na ukumbuke jamaa hua ni bingwa wa kuanzisha thread mfu sio muda mrefu yatamtokea puani na hata rudi kwenye hii thread kamwe..MamaDou bonge is beki tulieni tuuu....muda mwalim mzuri sana usimalize maneno
Kabla ya kujibu thread hii hebu tupe mrejesho wa Mayele na Kibu Denis nani zaidi? Kisha ndio tuendelee.View attachment 2572254
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN
Mbona kama unajishtukia. Yuko wapi beki wa CHAN. Upo kwenye uzi kama unaoga njeNa ukumbuke jamaa hua ni bingwa wa kuanzisha thread mfu sio muda mrefu yatamtokea puani na hata rudi kwenye hii thread kamwe..
Makocha wanaajiriwa ili wafukuzwe meku.Huyu Nabi aliyefukuzwa El Mereikh baada ya kufungwa na Simba?
Hata mimi nashangaa kwa nini hachezi. Yanga siyo timu ambayo mchezaji anaweza kutumia miezi eti kuingia kwenye mfumo wa mwalimu. Either mchezaji hana kiwango cha kutosha au kocha ni chenga.View attachment 2572254
KLABU ya Yanga SC ilimsajili na kumtambulisha beki wa kati, Mamadou Doumbia (27) kutoka Stade Malien ya Mali.
Hili lilikuwa beki la CHAN na majina mengine kibao. Baada ya hapo hata bench hakuonekana.
Liko wapi beki la CHAN