NaLog off

NaLog off

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
1. Sio mbaya nikiwashukuru wale wote ambao tumefahamiana kupitia jf...
2. Najua wapo nilio wakwaza na pengine nikiwaudhi zaidi, kwa heshima na taadhima nawaomba radhi kwa dhati kabisa....[emoji120]
3. Kuna mengi niliyaandika kama maskhara, utani na pengine kwa kutaka kujifurahisha.
4. Wengi nawashkuru kwa kipindi nilipokua dalali wa viwanja Dodoma na mkaniunga mkono, naamini hamkuwai kujutia kwenye kazi niliyo wafanyia kwa moyo mkunjufu kabisa (naamini sikuwai kumdhulumu wala kumuibia/kumtapeli yeyote).
5. Najua ni ngumu kuondoka hapa ndani moja kwa moja, lakini pengine nikipata wasaha nitakua napitia kuangalia/kusoma yanayo jiri pasipo kuLog in...[emoji3526]
6. Namshukuru sana mke wangu mpenzi kwa uvumilivu/kunifaham wakati wote nilipokua nikiandika nyuzi/comments zisizo mpendeza, hata wakati mwingine nilipo ingia majaribuni hapahapa ndani kwa matumizi mabaya ya shetani alipo nirahisishia matumizi mabaya ya kuzoza..[emoji17]
7. Pia niwapongeze wale wote ambao walifanikiwa kupata vibarua/ajira kwa kupitia Ushimen na natoa pole kwa madogo niliokua nikiwaunganishia michongo ya kazi na pengine bado Mungu hajawanyooshea mkono wake...[emoji41]
8. Wale niliokua nikiwatoa mitonyo pia naomba niwape pole kwasababu this is over...[emoji2958]
9. Wadada nilio watongoza na mkanikataa kwakweli mungu anawaona...[emoji25]
10. Kama kuna yeyote mwenye swali lolote, uhuma, malalamiko, kero ama lolote kutoka moyoni mwake naomba aniulize kabla siku ya kesho haija malizika (nitajibu hata maswali chokonozi).

Asanteni kwa kunisikiliza....
 
ID yako mpya utakayokuja nayo ni yenye maudhui gan. Au utakuja kama tineja

Enewei...it was nice riding wit u
Sinto kua na ID mpya, zamani kidogo nilikua na iliotajwa kwa Jiwedogo lakini ilikufa kivyake.
Na kabla ya hii nilikua na ID korofi nilio anza kuitumia mwaka 2007 kabla ya kupigwa life ban
 
Sawa...wape salamu sana Ama baada ya salamu huko unako kwenda.
 
Mkuu kila la kheri..

kama upo dodoma bado inshallah tutaonana next month
Asante mkuu, kwasasa nitapatikana Dodoma kwa siku zisizo zidi 60 kuanzia mwaka huu hadi hapo patakapo tokea lingine rofauti na sasa..
 
Mkuu Ushimen,
  • Kwanza huwa nakubali sana masihara yako, huwa nacheka sana nikikusoma.
  • Nini kimekufanya kuamua kuachana na mtandao huu unaotoa elimu, maarifa na info za kutosha?
  • Umetumia mbinu gani za kujihakikishia kuwa hutarudi tena humu?
 
1. Sio mbaya nikiwashukuru wale wote ambao tumefahamiana kupitia jf...
2. Najua wapo nilio wakwaza na pengine nikiwaudhi zaidi, kwa heshima na taadhima nawaomba radhi kwa dhati kabisa....[emoji120]
3. Kuna mengi niliyaandika kama maskhara, utani na pengine kwa kutaka kujifurahisha.
4. Wengi nawashkuru kwa kipindi nilipokua dalali wa viwanja Dodoma na mkaniunga mkono, naamini hamkuwai kujutia kwenye kazi niliyo wafanyia kwa moyo mkunjufu kabisa (naamini sikuwai kumdhulumu wala kumuibia/kumtapeli yeyote).
5. Najua ni ngumu kuondoka hapa ndani moja kwa moja, lakini pengine nikipata wasaha nitakua napitia kuangalia/kusoma yanayo jiri pasipo kuLog in...[emoji3526]
6. Namshukuru sana mke wangu mpenzi kwa uvumilivu/kunifaham wakati wote nilipokua nikiandika nyuzi/comments zisizo mpendeza, hata wakati mwingine nilipo ingia majaribuni hapahapa ndani kwa matumizi mabaya ya shetani alipo nirahisishia matumizi mabaya ya kuzoza..[emoji17]
7. Pia niwapongeze wale wote ambao walifanikiwa kupata vibarua/ajira kwa kupitia Ushimen na natoa pole kwa madogo niliokua nikiwaunganishia michongo ya kazi na pengine bado Mungu hajawanyooshea mkono wake...[emoji41]
8. Wale niliokua nikiwatoa mitonyo pia naomba niwape pole kwasababu this is over...[emoji2958]
9. Wadada nilio watongoza na mkanikataa kwakweli mungu anawaona...[emoji25]
10. Kama kuna yeyote mwenye swali lolote, uhuma, malalamiko, kero ama lolote kutoka moyoni mwake naomba aniulize kabla siku ya kesho haija malizika (nitajibu hata maswali chokonozi).

Asanteni kwa kunisikiliza....
sawa bruh pamoja na kuaga vizuri ila ikitokea unataka kurudi we rudi tu na I'd yako hii hii
 
Na atarudi kwa ID ya kike sasa😂 wana jf mbingu mtaisikia tu subirini muone hii mbute itakavyokuja Tena kuwe na mambo motomoto mtu aache kuja humu hahaha jf haiachwi hivyo ndugu by the way nikutakie mapumziko mema.
 
Back
Top Bottom