NaLog off

NaLog off

Mkuu Ushimen,
  • Kwanza huwa nakubali sana masihara yako, huwa nacheka sana nikikusoma.
  • Nini kimekufanya kuamua kuachana na mtandao huu unaotoa elimu, maarifa na info za kutosha?
  • Umetumia mbinu gani za kujihakikishia kuwa hutarudi tena humu?
1. Asante kwa nikubali mkuu...
2. Kwasasa majukumu yame changamka..
3. Nimeweka wazi kwamba naLog off, na nitaendelea kupita hapa na kusoma bila shaka. Isipokua sinto changia/comment chochote kwasababu naLog off..
 
Na atarudi kwa ID ya kike sasa😂 wana jf mbingu mtaisikia tu subirini muone hii mbute itakavyokuja Tena kuwe na mambo motomoto mtu aache kuja humu hahaha jf haiachwi hivyo ndugu by the way nikutakie mapumziko mema.
Sinto kuja na ID nyingine son...
Pia nimekua muwazi sana kuhusu ID zangu za pale kitambo kabla ya hii..
Na siendi kupumzika, zaidi tu niseme nimepata majukumu mapya kuanzia sasa.
 
Sinto kuja na ID nyingine son...
Pia nimekua muwazi sana kuhusu ID zangu za pale kitambo kabla ya hii..
Na siendi kupumzika, zaidi tu niseme nimepata majukumu mapya kuanzia sasa.
Mkuu umepata uteuzi nini? Sio taarifa nzuri,ulikuwa mwanafamilia mchangamfu,tutakumisi sana bro!
 
1. Asante kwa nikubali mkuu...
2. Kwasasa majukumu yame changamka..
3. Nimeweka wazi kwamba naLog off, na nitaendelea kupita hapa na kusoma bila shaka. Isipokua sinto changia/comment chochote kwasababu naLog off..
Mbona hata Mimi boss Mambo ni mengi hospitali lakini nikipata muda nazuka humu

Usiondoke tafadhali [emoji51]
 
1. Sio mbaya nikiwashukuru wale wote ambao tumefahamiana kupitia jf...
2. Najua wapo nilio wakwaza na pengine nikiwaudhi zaidi, kwa heshima na taadhima nawaomba radhi kwa dhati kabisa....[emoji120]
3. Kuna mengi niliyaandika kama maskhara, utani na pengine kwa kutaka kujifurahisha.
4. Wengi nawashkuru kwa kipindi nilipokua dalali wa viwanja Dodoma na mkaniunga mkono, naamini hamkuwai kujutia kwenye kazi niliyo wafanyia kwa moyo mkunjufu kabisa (naamini sikuwai kumdhulumu wala kumuibia/kumtapeli yeyote).
5. Najua ni ngumu kuondoka hapa ndani moja kwa moja, lakini pengine nikipata wasaha nitakua napitia kuangalia/kusoma yanayo jiri pasipo kuLog in...[emoji3526]
6. Namshukuru sana mke wangu mpenzi kwa uvumilivu/kunifaham wakati wote nilipokua nikiandika nyuzi/comments zisizo mpendeza, hata wakati mwingine nilipo ingia majaribuni hapahapa ndani kwa matumizi mabaya ya shetani alipo nirahisishia matumizi mabaya ya kuzoza..[emoji17]
7. Pia niwapongeze wale wote ambao walifanikiwa kupata vibarua/ajira kwa kupitia Ushimen na natoa pole kwa madogo niliokua nikiwaunganishia michongo ya kazi na pengine bado Mungu hajawanyooshea mkono wake...[emoji41]
8. Wale niliokua nikiwatoa mitonyo pia naomba niwape pole kwasababu this is over...[emoji2958]
9. Wadada nilio watongoza na mkanikataa kwakweli mungu anawaona...[emoji25]
10. Kama kuna yeyote mwenye swali lolote, uhuma, malalamiko, kero ama lolote kutoka moyoni mwake naomba aniulize kabla siku ya kesho haija malizika (nitajibu hata maswali chokonozi).

Asanteni kwa kunisikiliza....
Ukichoka mapumziko yako karibu tena Jf.. Sasa sijui utarudi na Id hii hii au utabadili?
 
Tatizo bando....😜😜🤪🤪🤪🤪🤪😅

Namba 9. Wasamehe buree.
 
1. Asante kwa nikubali mkuu...
2. Kwasasa majukumu yame changamka..
3. Nimeweka wazi kwamba naLog off, na nitaendelea kupita hapa na kusoma bila shaka. Isipokua sinto changia/comment chochote kwasababu naLog off..

Ninachojua ni ngumu sana kuchomoka humu hasa kama umekuwa mwanafamilia kwa muda mrefu. Option ninayoona ni moja tu, upoteze kifaa chako na usiwe na hela ya kununulia kingine, otherwise utashangaa usharudi kwa kusoma na baadae kuchangia kabisa. Kazi mbona zipo tu na tunajumuika kama kawaida humu.

Niliweka resulution ya kupunguza muda mitandaoni ndio maana nimekuuliza sababu na strategy zako. Bado naona ni ngumu tu...!
 
Back
Top Bottom