1. Asante kwa nikubali mkuu...Mkuu Ushimen,
- Kwanza huwa nakubali sana masihara yako, huwa nacheka sana nikikusoma.
- Nini kimekufanya kuamua kuachana na mtandao huu unaotoa elimu, maarifa na info za kutosha?
- Umetumia mbinu gani za kujihakikishia kuwa hutarudi tena humu?
sawaSawa mkuu, nitazingatia ushauri wako..βΊοΈ
Sawa mkuuuAsante mkuu, kwasasa nitapatikana Dodoma kwa siku zisizo zidi 60 kuanzia mwaka huu hadi hapo patakapo tokea lingine rofauti na sasa..
π π π π π πtenaID yako mpya utakayokuja nayo ni yenye maudhui gan. Au utakuja kama tineja
Enewei...it was nice riding wit u
Sinto kuja na ID nyingine son...Na atarudi kwa ID ya kike sasaπ wana jf mbingu mtaisikia tu subirini muone hii mbute itakavyokuja Tena kuwe na mambo motomoto mtu aache kuja humu hahaha jf haiachwi hivyo ndugu by the way nikutakie mapumziko mema.
Mkuu umepata uteuzi nini? Sio taarifa nzuri,ulikuwa mwanafamilia mchangamfu,tutakumisi sana bro!Sinto kuja na ID nyingine son...
Pia nimekua muwazi sana kuhusu ID zangu za pale kitambo kabla ya hii..
Na siendi kupumzika, zaidi tu niseme nimepata majukumu mapya kuanzia sasa.
Mara ya ngapi hii unaaga weee
Mbona hata Mimi boss Mambo ni mengi hospitali lakini nikipata muda nazuka humu1. Asante kwa nikubali mkuu...
2. Kwasasa majukumu yame changamka..
3. Nimeweka wazi kwamba naLog off, na nitaendelea kupita hapa na kusoma bila shaka. Isipokua sinto changia/comment chochote kwasababu naLog off..
Ukichoka mapumziko yako karibu tena Jf.. Sasa sijui utarudi na Id hii hii au utabadili?1. Sio mbaya nikiwashukuru wale wote ambao tumefahamiana kupitia jf...
2. Najua wapo nilio wakwaza na pengine nikiwaudhi zaidi, kwa heshima na taadhima nawaomba radhi kwa dhati kabisa....[emoji120]
3. Kuna mengi niliyaandika kama maskhara, utani na pengine kwa kutaka kujifurahisha.
4. Wengi nawashkuru kwa kipindi nilipokua dalali wa viwanja Dodoma na mkaniunga mkono, naamini hamkuwai kujutia kwenye kazi niliyo wafanyia kwa moyo mkunjufu kabisa (naamini sikuwai kumdhulumu wala kumuibia/kumtapeli yeyote).
5. Najua ni ngumu kuondoka hapa ndani moja kwa moja, lakini pengine nikipata wasaha nitakua napitia kuangalia/kusoma yanayo jiri pasipo kuLog in...[emoji3526]
6. Namshukuru sana mke wangu mpenzi kwa uvumilivu/kunifaham wakati wote nilipokua nikiandika nyuzi/comments zisizo mpendeza, hata wakati mwingine nilipo ingia majaribuni hapahapa ndani kwa matumizi mabaya ya shetani alipo nirahisishia matumizi mabaya ya kuzoza..[emoji17]
7. Pia niwapongeze wale wote ambao walifanikiwa kupata vibarua/ajira kwa kupitia Ushimen na natoa pole kwa madogo niliokua nikiwaunganishia michongo ya kazi na pengine bado Mungu hajawanyooshea mkono wake...[emoji41]
8. Wale niliokua nikiwatoa mitonyo pia naomba niwape pole kwasababu this is over...[emoji2958]
9. Wadada nilio watongoza na mkanikataa kwakweli mungu anawaona...[emoji25]
10. Kama kuna yeyote mwenye swali lolote, uhuma, malalamiko, kero ama lolote kutoka moyoni mwake naomba aniulize kabla siku ya kesho haija malizika (nitajibu hata maswali chokonozi).
Asanteni kwa kunisikiliza....
Uteuzi, Yuko karibu na ua ridiJamani
Mkuu shda nn
1. Asante kwa nikubali mkuu...
2. Kwasasa majukumu yame changamka..
3. Nimeweka wazi kwamba naLog off, na nitaendelea kupita hapa na kusoma bila shaka. Isipokua sinto changia/comment chochote kwasababu naLog off..