Hapana mkuu....Uteuzi, Yuko karibu na ua ridi
Happy New year shem
Kwangu ni rahisi mkuu, na pengine niseme tu kwamba sababu sio kazi (siku zote nimekua nafanya kazi) except mwaka 2017 ndio sikufanya kazi kwa mwaka mzima.Ninachojua ni ngumu sana kuchomoka humu hasa kama umekuwa mwanafamilia kwa muda mrefu. Option ninayoona ni moja tu, upoteze kifaa chako na usiwe na hela ya kununulia kingine, otherwise utashangaa usharudi kwa kusoma na baadae kuchangia kabisa. Kazi mbona zipo tu na tunajumuika kama kawaida humu.
Niliweka resulution ya kupunguza muda mitandaoni ndio maana nimekuuliza sababu na strategy zako. Bado naona ni ngumu tu...!
Unaweza kunusa hii?Uzuri mm ni mnusaji mzuri wa ID za watu..
Baba swalehe jamanDina jamani
Habari [emoji1751]
πππππKuna kuondoka bila kuaga, pia kuna kuaga bila kuondoka... nilisema naacha mziki!
Kwangu ni rahisi mkuu, na pengine niseme tu kwamba sababu sio kazi (siku zote nimekua nafanya kazi) except mwaka 2017 ndio sikufanya kazi kwa mwaka mzima.
Nadhani majuku ndio yameongezeka na hata pia pombe nimeamua kupumzika kuanzia sasa...[emoji3526]
Niambie umejipa hobby gani badala ya hii.Kwangu ni rahisi mkuu, na pengine niseme tu kwamba sababu sio kazi (siku zote nimekua nafanya kazi) except mwaka 2017 ndio sikufanya kazi kwa mwaka mzima.
Nadhani majuku ndio yameongezeka na hata pia pombe nimeamua kupumzika kuanzia sasa...[emoji3526]
Kila la heri kiongozi, nitayamiss mapengo hahaha!Mkuu....
Mimi ni msomaji mzuri sana wa vitabu, na ninafikiri nitaongeza muda wa mazoezi na kusoma vitabu zaidi
Umenisusa au tumesusanaBaba swalehe jaman
Nzuri