Jifunze kufikiri.Usihamishe magoli katikati ya mchezo:
Uliandika "mwisho wa siku hao wote watarudi kufuata alichokifanya Magu - na wameshaanza". Mwisho wa kukunukuu.
Bandiko lako na pia alichokifanya Magu ambacho unakubali na ambacho labda wameshaanza hao marais wenziwe kukifuata kipo hapa:
View attachment 1449908
Jifunze kufikiri.
Nilipokuuliza "so what' nilitaka ujaribu kutumia ubongo wako kufafanua faida walizopata hao waliopiga lockdown ambazo sie tumezikosa kwa Magu kutokuwa ikulu.
Badala yake unaleta ujuzi wako katika kucopy na kupaste.
Hongera!
'waliofikia lockdown wako vizuri" ndo umeeleza nini hapo?Wewe ni wa kuhurumia kwa sababu hujui kwamba hujui. Huwa wenye akili zao hawaulizi majibu wanauliza maswali.
Maswali yasiyo na mashiko hupuuzwa. Ila kama yote hayo huelewi waliofikia lockdown wote wako vizuri mno kuliko hawa wanaorudishwa kila siku kuwa wana Corona.
Jipange elimu zaidi itakusaidia:
How Australia and New Zealand are emerging from the coronavirus crisis
Vipi wale wanaofia home Nairobi
Wapi hapo?View attachment 1450553
Evidence ya chenye unaongelelea ni kitu ya maana sana. View attachment 1450552
Wapi hapo?
Nikafikir hao ndo waliozikwa jana usiku huko kwenu.Najua huwezi kumbuka lakini nitakumbusha wewe... Wote hawa wametoka huko upande wa kwako. Wakwanza alikuwa hospitalini mwingine naye ni yule dereva wa Lori ya mzigo.
'waliofikia lockdown wako vizuri" ndo umeeleza nini hapo?
Utakapoacha tabia ya ku-copy and paste utajifunza namna ya kufafanua na kueleweka hoja yako.
Niambie wewe mie sijui.Madereva wangapi Wa Tanzania umesikia wamekufa kwa corona?
Wewe ndio ulisema Vigo.kibao taja dereva mmoja Wa Lori la Tanzania aliyekufa kwa corona toka porojo za ohhh madereva Wa Tanzania wana cprona
Duuh . . . .ujumbe mkali sana huuKipaumbele chetu ni kupambana na CHADEMA na sio covid-19!!
Kaka ulichemka tulia huna haja ya kubishana.. kumpenda/kumkubali mtu c kosa, ulaumiwi kumpenda mwanaume mwenzako.. ila lililofanyika halikuwa kwa faida ya wote, watu wanaathirika kwa hatua na maamuzi ya wenye nchi na wapo mnaonufaika nayo pia.. Kama hauathiriki shukuru Mungu.. maambukiz yapo na yanaendelea chukua tahadhari... Stay safeJifunze kufikiri.
Nilipokuuliza "so what' nilitaka ujaribu kutumia ubongo wako kufafanua faida walizopata hao waliopiga lockdown ambazo sie tumezikosa kwa Magu kutokuwa ikulu.
Badala yake unaleta ujuzi wako katika kucopy na kupaste.
Hongera!
Haya WHO (wanaowaamini) wamemuelewa JPM.Kaka ulichemka tulia huna haja ya kubishana.. kumpenda/kumkubali mtu c kosa, ulaumiwi kumpenda mwanaume mwenzako.. ila lililofanyika halikuwa kwa faida ya wote, watu wanaathirika kwa hatua na maamuzi ya wenye nchi na wapo mnaonufaika nayo pia.. Kama hauathiriki shukuru Mungu.. maambukiz yapo na yanaendelea chukua tahadhari... Stay safe
Tubaki na maujinga yetu aisee...Majirani wameshituka sasa hawataki ujinga
You're completely pathetic and extremely doomed enough, Magufuli kaifanyia nini Tanzania? zaidi ya kuizamisha shimoni?Hakika utakua na minyoo!! unadhani kila anayeona juhudi za Rais ni CCM? wengine hatuna vyama isipokua uhalisia unaonekana, nafikiri ninyi wengine ni watoto au mna matatizo ya akili kiasi hamuwezi kuona jambo kwa unadani wake
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Tena ni Amana Hospital Dar es salaamNajua huwezi kumbuka lakini nitakumbusha wewe... Wote hawa wametoka huko upande wa kwako. Wakwanza alikuwa hospitalini mwingine naye ni yule dereva wa Lori ya mzigo.