Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Kubali watu wanakufa usitake kila mmoja akuletee ushahidi ulipo, Ugonjwa umesambaa kwenye vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani vitu ambavyo vimebarikiwa na viongozi wa CCM
Uko dunia nzima
Wewe umeona aliyekufa? Kubali hata kwa kudanganya
Kwa uwingi huo kaka, ungeona maiti zimelala barabarani na kila nyumba nne ya tano kungekuwa na msiba