mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Ni ngumu kumesaAtaandika historia kubwa na ya kipekee duniani iwapo hilo litatimia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu kumesaAtaandika historia kubwa na ya kipekee duniani iwapo hilo litatimia.
Tena hizi habari zitasababisha vitanda visilalike.Kuna mtu akiona hizi picha au kusikia habari hizi, huko aliko anazidi kufura licha ya Tume kutokuwa huru.
Kumbe mlipanga kummaliza nae? Kuweweseka ni lazima wachawi wanapokaribia kukata rohoUmesahau na dereva hakupata hata mchubuko na kumtorosha kabisa
Si utani....Maajabu Yanaendelea.
Kwamba barua ndio ingechukua fomu, au?Uraisi una wakala!!!! Mtu haendi personally eeee hii Kali. Ile barua Lisu aliandika kuomba kuteuliwa Uraisi kazi yake ilikuwa Nini?
Hii inafikirisha sana kwanini tumemficha na kumtorosha?Kumbe mlipanga kummaliza nae? Kuweweseka ni lazima wachawi wanapokaribia kukata roho
Dereva mshukiwa namba 1. Lissu na CHADEMA wanamlinda dereva kwa gharama kubwa sio kawaida. Jiulize hayo mambo utapata jibu kwa nini hakuna mtu aliyetiwa mbaroni so far. Halafu usishangae Lissu akaja bila derevaMaajabu ni pale mbunge alipotwangwa risasi kumi na nane,mchana kweupeee,harafu serikali hii ya ccm,
Polisi,TISS,na JWTZ, ikashindwa kuwakamata waharifu!!!hayo ndio maajabu!!
Maajabu Yanaendelea.
Muulize Lisu aliyeandika barua ya kuombaKwamba barua ndio ingechukua fomu, au?
Hakika Aepushiwe na mwenyekiti mwenye hira na roho chafuHuyu jamaa alindwe sana
Kwa Sala hii Mwenyekiti hawezi kuwa salamaMungu atamsimamia na wachawi na wauaji atawalipa satahiki zao!
Mi ninacho akigombea napiga kura,asipogombea sipigi kura!Naanza kuona kunahaja yakutafuta kitambulisho cha mpiga kura.
AmepatikanaaaaSafi, tunataka mwana CHADEMA halisi.
kumekucha!Mkurugenzi wa Uchaguzi CHADEMA(kulia), akimkabidhi Fomu ya Kuomba Uteuzi Kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Wakala wa Mhe. Tundu Lissu, David Jumbe, leo Jumamosi 04/07/2020, Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni, Dar es Salaam.
View attachment 1497296