Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWANI WAMEKATAZWA KUGOMBEAIfike wakati tabia ya kurithishana madaraka ya nchi ikomeshwe , Wazanzibar ambao baba zao hawakuwa viongozi hawana haki ya kuwania uongozi ?
Hana sifaNi protocol tu zinafuatwa lakini kiukweli Dr.Hussein ndo Rais ajae wa zanzibar.
Kaka tu chat watu wanafamilia zinawategemea bhanaMbona soijasikia huko Bara wakichukua fomu??
Znz huwa hakunaga press za kila Mara,anaweza akakaa mwaka mzima bila pressNatumaini atashinda
Lakini shemeji yetu kwa ukimya wako utaweza kweli?!
WaZenji wapole utakuwa sawa
Go for it!
support you mingi mingi!
Kwani ameshapigiwa kura mkuu,mbona kama unaongea kwa uhakika kuwa atakuwa raisi wa Zanzibar...?Ifike wakati tabia ya kurithishana madaraka ya nchi ikomeshwe , Wazanzibar ambao baba zao hawakuwa viongozi hawana haki ya kuwania uongozi ?
Yes sasa ni kupiga kazi tu na pia zamu ya upande wa pili wa muungano pengo litazibwa na huyu Daktari mahiriNi jambo jema!
Muislamu wa 2025 amepatikana JMT!
huyu hana uwezo wa kupata hata nusu ya kura za maalim seif , wazanzibar siyo wajingaImeisaha hiyo,,huyo ndo Rais wa Zanzibar.
Hahahaa you made me smile Mtani, tuachti tu December tukutane MoshiKaka tu chat watu wanafamilia zinawategemea bhana
Znz huwa hakunaga press za kila Mara,anaweza akakaa mwaka mzima bila press
Nimeishi znz kidogo najua unachokisema vizuri tu ila Jecha yupohuyu hana uwezo wa kupata hata nusu ya kura za maalim seif , wazanzibar siyo wajinga
Awamu ijayo Rais wa Zanzibar atakuwa mkristu.Huyu ndio Rais wa Zbar
Wazanzibar tunamtaka Maalim Seif full stop!!Hongera Hussein Mwingi kuchukua fomu tunakutakia Uraisi mwema utaupata tu inshallah
Kwani vyeo vyote zanzibar vya kugombea watu wanarithishana? kama ubunge na baraza la wawakilishi? acha uzushi
Na wanaowapigia kura wawe wagombea mfano kamati kuu ya chama,halmashauri kuu na mkutano mkuu wote ni watoto wa viongozi? hoja yako haina mashiko
Acha kujitoa ufahamuWaziri wa ulinzi na JKT wa nchi gani?
Tanzania hakuna uwaziri bila ubunge, na bunge limevunjwa jana.
Cheki huyu naye.Ifike wakati tabia ya kurithishana madaraka ya nchi ikomeshwe , Wazanzibar ambao baba zao hawakuwa viongozi hawana haki ya kuwania uongozi ?
Huku bara Bashiru aliandaa form moja tu ambayo imeshachukuliwa na Magufuli.Mbona soijasikia huko Bara wakichukua fomu??
NyerereYes sasa ni kupiga kazi tu na pia zamu ya upande wa pili wa muungano pengo litazibwa na huyu Daktari mahiri
Life is a choiceHapa ndipo ninapojiuliza watoto wa muasisi wa taifa la Tanganyika wana-fail wapi? Sioni dalili ya wao kupata nafasi ya uongozi wa juu katika nchi hii.