Namba 6 ishafika mjini..

Namba 6 ishafika mjini..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Huyo namba 6 ni arafat labda,ila kama ni yule wa asec ashaenda zake algeria huko[emoji38]
 
Naona unajifariji tu hapo,sasa mkude wa kumbabaisha mtu kweli???[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]muwe siriazi jaman
 
Kwa taarifa zilizotufikia namba 6 tayari kashamalizana na yanga
 
Napenda...Hapo Mayele anamaanisha anataka aongezewe mzigo na Yanga zaidi ya ule wa waarabu...wakishindwa aachwe aende kwenye pesa nyingi
Aachwe vipi na wakati mkataba wake unaisha Juni, 2024? Mashabiki wa simba bhana!!
 
Mmeshindwa kumlipa feisal hela ya maana mmebaki na propaganda tu subirini wachezaji ambao hawana team kama kina bigirimana bahati ya Caf confederation cup haiji mara mbili.
 
Back
Top Bottom