Namba E zitaanza muda wowote kuanzia sasa

Namba E zitaanza muda wowote kuanzia sasa

Namba D huu mwaka mnamaliza nayo, mnaosubiri namba E labda Januari huko. Halafu kwasasa imekuwepo kasumba watu kibao wanatembelea Chasis namba wakisubiri namba mpya. So hapa mwishoni mtasubiri mnooooo, namba D Bado ipo ipo sana mpa Xmas ipite.
Jidanganye hivyo hivyo leo DZX iko katikati leo. Hadi kufikia tarehe 20/8/2022 usajili wa DZZ utakuwa uko ukingoni. Kabla ya tarehe 1/9/2022 namba E inasajiliwa rasmi.
 
Hii siyo ya kweli
Nimeliona tangu mwezi uliopita hili gari maeneo ya Mcity.
Huenda ni Watu wa VIPENYO.
DZZ bado.
 
IMG_1313.jpg

Tjis is no
 
Back
Top Bottom