Namba ya Hayati Rais Magufuli inayoishia 9999 imejiunga Telegram

magufuli wa kikosi kisicho julikana kiliishia wapi!

telegram ina waarifu ni kundi la dark web
 
Hivi TISS huwa ipo wizara au ofisi gani?

Yaani kama JWTZ ipo wizara ya ulinzi..Polisi ipo mambo ya ndani.
 
Mheshimiwa ungetumia
Busara kwenda ofisi husika na kulipoti hilo kuliko kuja huku na kusema hivyo uoni unajitengenezea mazingira magumu kwako? Kwaza kwa serikali na pili kwa huyo mtu ni hatari kwako? Futa hii tjreead ushauri tu
Maisha ndo haya haya,kuogopana kwio
 
Kuna watu walikuwa hawajui namba ya rais inaishia 999 lakini ww umevujisha lakini zaidi kutoa taarifa public na sehemu husika unazijua za kurepot na kushughulikiwa sijaona sababu ya weee kuleta hapa

Kwani ukijua number ya Raisi Inaishia na 999 ndio nini ? Unakua umejua mtandao na code zote ? Na hata ukijua full number ndio utaenda kumfukua , umdhuru tena ?

JPM alikua mbunge kabla ya kua Raisi wabunge number zao zote zipo kwenye website ya bunge cha ajabu ni nini ? Hacheni kukuZa mambo washamba nyinyi
 
Mheshimiwa ungetumia
Busara kwenda ofisi husika na kulipoti hilo kuliko kuja huku na kusema hivyo uoni unajitengenezea mazingira magumu kwako? Kwaza kwa serikali na pili kwa huyo mtu ni hatari kwako? Futa hii tjreead ushauri tu
Acha ujinga sasa hatari ya nini ? Acheni kukuza mambo.
 
Hakuna ukweli wowote ni changamsha genge😏
 
Kwanza namba ya wanyama weusi inasomeka 123... Ukipigiwa na wao wenyewe.
 
Kuna jamaa yangu wa karibu aliwai kuwa namba zilikuwa zinaingiliana na ya Mzee Magu. Alisajili hiyo laini kabla ya kampeni na
Kwa mara kadhaa alikuwa anapokea simu huku wapiga simu wakidhani wanampigia Magu.. Hali hiyo ilimtia hofu sana hadi akawa anaiweka hiyo laini hewani kwa machale
sana. kuna wakati alikuwa ana Maliza hadi mwezi bila kuiweka hewani hiyo laini.

Baada ya Uchaguzi wa mwaka 2015 kuna mwanaccm mmoja mkubwa huko Biaramulo (ni Mtutsi) anaitwa Mrefu alimpigia simu Jamaa na kuanza kumpa hongera nyingi jamaa akamjibu "mzee yuko bize" akakata simu.

What broke camel's back kuna siku alipigiwa simu na kiongozi mmoja mkubwa (jina kampuni)

Jamaa"we nani?
Mpiga simu"mimi fulani"
Jamaa"mzee yuko bize" akakata simu.. Toka hiyo siku akaivunja hiyo laini.
Kuna wakati nahisi Ilikua ni fursa ya kupiga hela kupitia hiyo laini ila hofu ilitutekea, tukaogopa
 
I thought i ..,....... myself only.....au basi 🀐
 
Kwa hiyo unampangia Mungu siyo? Wewe unajua siku utakayoondoka na jinsi utakavyoondoka?
yule alikuwa sauti ya watu wengi sana, huwezi mfananisha na mimi ambaye hata sijulikani....na Mungu huwezi mpangia, ugonjwa aliougulia hata sijaujua hadi leo maana waliokuwa wanatoa taarifa walikuwa hawaeleweki na taarifa zao πŸ˜• πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…