luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Siko telegram kama huyu mtu kaona na wengine wataona. No yake nilikuwa nayo ya airtel nishafuta haina maana. Nikifa nitamtafuta kwa mguu kumsalimia.Ww ulikuwa unajua ilo au ulishawai kuwa nayo namba yake?