Namba ya Hayati Rais Magufuli inayoishia 9999 imejiunga Telegram

Hivi TISS huwa ipo wizara au ofisi gani?

Yaani kama JWTZ ipo wizara ya ulinzi..Polisi ipo mambo ya ndani.
Ofisi ya Rais (sponsor) ,ukisikia kina Membe wanasema "nilianzia kazi ofisi ya Rais" huwa wanamaanisha TISS
 
Mngepiga pesa siku moja iingie hata milioni 2 then mnqivunja
 
Z
Namba zinazoishia na 9999 sidhani kama ni moja
 
Imeshauzwa sio yake tena
 
Yeye mwenyewe ndo anaitumia.
 
Mambo nyeti aisee
 

Hiyo namba ni ya ofisi kama ofisi sii yake peke yake na ndio maana hata ukiipiga sa hivi iko hewani.naomba niishie hapo tafadhali[emoji2312]
 
Ila Jiwe mbishi sana kafa lakini anaendelea kuishi. Sijui afe marangapi?

Fak
 
Unakaa na namba ya mzoga Ili uwe unawaonyesha majuha wenzio kwamba ulikua nayo unjinga mzigo
 
Acha wivu Mkuu, namba yoyote usipoitumia kwa muda mrefu anapewa mtu mwingine. Hata mimi nna namba zangu za zamani nlizopoteza line ambazo saivi nikipiga wanapokea watu wengine.
Kama unabisha tupa hio line yako alafu baada ya miaka miwili ipige usikie
 
Acha uzembe wewe
0765289999
0765279999
0765269999
0742119999
0784219999
0620269999
Nk.

Sasa unataka namba zote hizi zenye 9999 mwisho ziondolowe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…