Namba ya nani unaitafuta bila mafanikio?

Pm mpya kila siku?
Tht is not u confused m with sm1 else.anyway ni ngumu kukushawishi unacho amini sio...i rest my case & keep hope for the best.mchana mwema
Ile uliyotuma mwaka huu si yako?
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hapo kwenye ustaarabu nimenusa ukorofi kiasi, hasa ukali.
Hahaha!
Ni mstaarabu tu na nina misimamo ambayo sometimes inayfanya nionekane mkali.
 
Tulio soma zile hesabu za Permutation na Combination hapo lazima utashangaa na nafsi yako, hatukosei.Ngoja apigiwe.
Ahahahahahaha......
Una permutate wee halaf una combine ...ukisha pata msululu wa namba zako unaanza kukomaa Piga moja baada ya nyingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…