Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mimi si mpole hata kidogo.We kapole sana
Mpka msamaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi si mpole hata kidogo.We kapole sana
Mpka msamaha.
Ile uliyotuma mwaka huu si yako?Pm mpya kila siku?
Tht is not u confused m with sm1 else.anyway ni ngumu kukushawishi unacho amini sio...i rest my case & keep hope for the best.mchana mwema
Ooh mkorofi?Mimi si mpole hata kidogo.
Hapana[emoji23][emoji23][emoji23]Ooh mkorofi?
😅 😅 😅 😅Hapana[emoji23][emoji23][emoji23]
Mstaarabu Sana ila si mpole
Hahaha![emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hapo kwenye ustaarabu nimenusa ukorofi kiasi, hasa ukali.
Misimamo mikali ndio inayoleta ukali, kwaio wewe ni mkali, i hope huongei kwa ukali lakini😅.Hahaha!
Ni mstaarabu tu na nina misimamo ambayo sometimes inayfanya nionekane mkali.
Hamna jamani [emoji23][emoji23]Misimamo mikali ndio inayoleta ukali, kwaio wewe ni mkali, i hope huongei kwa ukali lakini[emoji28].
Hapo sawa.Hamna jamani [emoji23][emoji23]
Misimamo laini tu!
Naongea kipole mno
Usiogope[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Natafuta ya yule mkalimani wa jana Dodoma
Kabisa uni-ubirie.Usiogope[emoji23][emoji23][emoji23]
Hutachoka kunisikia nikiongea
Hahah!Kabisa uni-ubirie.
Hujawai kuhubiri ww😅?Hahah!
Unadhani najua basi!![emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi hataHujawai kuhubiri ww[emoji28]?
Ahahahahahaha......Tulio soma zile hesabu za Permutation na Combination hapo lazima utashangaa na nafsi yako, hatukosei.Ngoja apigiwe.