Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?


Mkuu inawezekana figure zikawa zimeongezwa lakini, Wayahudi ni kweli waliuliwa ndio maana hadi kwa sasa kuna makumbusho maeneo kama kule Sobibor...
 

Hapo nimekusoma na ndio maana wanasema all Jews are Israelites but not all Israelites are Jewish, sawa kabisa na kusema wasukuma wote ni Watanzania lakini si Watanzania wote ni wasukuma!!!
 
Mhh mil6 c kama wakazi Wa Zanzibar wote.hapa kweli kuna ulakini
fuatilia tena sense ya watu wa Zanzibar ya mwaka 2012, nadhani milioni 6 ni mara 6 ya population ya watu wa Zanzibar.
 

Mkuu kwa hiyo taifa la Israel origin yake ni wapi kabla ya kutawanyika duniani???
 
Mkuu inawezekana figure zikawa zimeongezwa lakini, Wayahudi ni kweli waliuliwa ndio maana hadi kwa sasa kuna makumbusho maeneo kama kule Sobibor...

There is no doubt kuwa hawa jamaa walikufa. Mzozo ni idadi na kuweko au kutokuwapo Gas Chambers. Uchunguzi umeshindwa kupata ushahidi kuwa kulikuwa na gas chambers. No traces of Cyanide. Hata hizo "chambers" zina nafasi kubwa kati ya mlango na sakafu kiasi kwamba hata nao Nazis wangekufa baada ya kuruhusu Gas kuingia.

In fact wapo wanaohoji kuwa kama unataka kufanya genocide of a particular people how comes uwasafirishe, uwalishe, uwafungulie concentration camps? Mfano Rwanda, wahutu hawakufungua such camps ilikuwa ni mapanga na risasi kwa kwenda mbele.

Pia hata Russians walikufa kwa wingi sana ila hawatajwi.
 

Sasa we kikongwe israeli kwa mara ya kwanza ilianza kukaliwa na watu gan?
 
ni kwamba uyahudi ni imani sio race,ama taifa.
wala hakuna kabila la kiyahudi
Hujui lolote iko ivi; wayahudi ni kizazi cha Yakobo (kwaiyo wote ni ndugu wa damu), tena dini yao moja (waliyopewa na nabiii Musa), tena ni taifa/nchi/dola yenye mipaka inayotambulika hata vitabu vya BC vinabainisha. Historia ya kuundwa kwa taifa lao haifanani na taifa lingine lolote duniani.
 




Unaeleweka vizuri !!
Lakini naomba ufafanuzi hapo kwenye '' People of the United Republic of Tanzania'' mana nijuavyo mimi Nyerere na Katiba yake ya CCM 1977 na ile ya Samweli 6 hazikuweka neno people. Na hili walilifanya makusudi ili kuondoa utaifa na uzalendo wa wazawa na kuifanya Tanzania kuwa shamba la bibi. Kila mtu anaruhusiwa kuiona nchi ya Tanzania kama nchi yake na kuvuna anachotaka na kupeleka anakotaka.
 
Hata hiyo ya Rwanda kuna thread niliona wanachambua ina walakini... idadi ile ya Watutsi ilikuwa ni sound... Tukirudi katika hiyo ya kuwasafirisha, Wayahudi hawakuwa kwenye eneo moja kama Watutsi, walikuwa sehemu mbalimbali yamkini walikuwa wanawakusanya wengi kwa pamoja halafu wanawaua sasa tofauti na hao wengine ambao kupatikana ilikuwa ni bwerere...

Halafu si kuna watu wale Wayahudi walipona kwanini ushahidi unatafutwa hivyo kama ni kitu kilichotokea BC!? kuna watu hadi sasa hivi wanaishi wanashindwa vipi kutoa ushahidi!? Sasa hizo chambers zilizokuwepo kulikuwa kunafanyika shughuli gani!? Halafu ni kwanini Wayahudi wajengewe Makambi!?
 
Mkuu kwa hiyo taifa la Israel origin yake ni wapi kabla ya kutawanyika duniani???

Kuna Wanahistoria wanaamini ni Afrika, ilipo Ethiopia kwa sasa na wapo wanaoamini ni Sudan. Controversial.
 

Siongelei Katiba, we are the people of Tanzania. Simple.

Nyerere achana nae katiba yake imepitwa na wakati, kila Mtanzania anataka ibadilishwe.
 

Mkuu ni kwamba matumizi ya sentesi Wayahudi Million 6 (wateswa, wauwawa, wadhalilishwa nk) yalitumika miaka mingi hata kabla ya vita ya pili ya dunia

Six Million - 140 Occurrences Of The Word Holocaust And The Number 6,000,000 Before The Nuremberg Trials Began

kisha kuna ushahidi wa kutosha kuwa wapo wayahudi (survirors) ambao account zao za kilichojiri kwenye makambi husika zimethibitishwa ni za kugushi



source: https://furtherglory.wordpress.com/...of-viktor-frankl-a-famous-holocaust-survivor/


Mkuu inaelekea hata ile paper ya Mark Weber (nimeiweka in another posting) hukuisoma, vinginevyo ungekuta majibu ya maswali uliyoniuliza
 
Ngojea niipitie mkuu...
 

hapo nikuhoji mkuu. umesema wakristo, okey. vip mtu anaposema "waanglicana?"- Anglicans. hawa si niwaumini na dini yauingereza? si wananchi yao england?

usiseme "wakristo" tu kutaka ku'generalize ili mantiki yako ikubali hapo.
 
Mkuu wa chuo, Eiyer, FaizaFoxy,


hii video nadhani ina baadhi ya majibu ya maswali aliyoniuliza Mkuu wa Chuo






Pia itasidia ukisoma kauli ya Mkurugenzi wa kambi ya Auschwitz, kwamba "gas chambers" zilijengwa kwa amri ya Stalin, baada ya vita:



Source: Auschwitz Museum Director Reveals 'Gas Chamber' Hoax
 
Last edited by a moderator:
Wayahudi si taifa ni kama vile kusema Wakristo au Waislam au Mabuddha au Wapagani.

Wametapakaa sehemu mbali mbali ulimwenguni, kwingine wako wengi, kwingine wako kidogo, kwingine hawapo kabisa.

Huo ni uwongo mtakatifu, ulichoandika ni irrelevant and purely nonsense! Wayahudi wana utamaduni wao na lugha yao moja toka asili kihebrania, hebu niambie lugha inayozungumzwa na wakristo wote duniani na utamaduni wa wakristo! Je waislam lugha yao ni ipi? Kila myahudi aliezaliwa nchi yoyote duniani inajulikana kuwa lugha yake ya asili ni kihebrania, je kila muislam au mkristo aliezaliwa popote duniani lugha yake ya asili ni ipi!? Ukitaka kuchambua wayahudi na taifa lao israel utachanganyikiwa! Ndio maana ndani ya bible israel inaitwa taifa teule. Waacheni hao watu na ndugu yake mpalestina hawajaanza kupigana leo, ni toka enzi hizo za before christ! Na mgogoro wao utakuwa unsolved till dooms day,so the bible says!
 
Na wahindu tuwarudishe nchi yao ya ahadi india=Chuma Chakavu;11771499]Huo ni uwongo mtakatifu, ulichoandika ni irrelevant and purely nonsense! Wayahudi wana utamaduni wao na lugha yao moja toka asili kihebrania, hebu niambie lugha inayozungumzwa na wakristo wote duniani na utamaduni wa wakristo! Je waislam lugha yao ni ipi? Kila myahudi aliezaliwa nchi yoyote duniani inajulikana kuwa lugha yake ya asili ni kihebrania, je kila muislam au mkristo aliezaliwa popote duniani lugha yake ya asili ni ipi!? Ukitaka kuchambua wayahudi na taifa lao israel utachanganyikiwa! Ndio maana ndani ya bible israel inaitwa taifa teule. Waacheni hao watu na ndugu yake mpalestina hawajaanza kupigana leo, ni toka enzi hizo za before christ! Na mgogoro wao utakuwa unsolved till dooms day,so the bible says![/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…