Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?

Namba zinakataa: Hitler alipata wapi wayahudi milioni sita?

Mkuu tatizo unaanzia mwaka 1946 wakati mimi hoja yangu ni kabla ya hapo,yaani kuanzia mwaka 1000 B.C

Nataka kujua wakati huo Wayahudi walikuwa wanaishi wapi?
Ni kweli hakukua na nchi inayoitwa Israel wakati huo?

Je wakati huo hao Wapalestina walikuwa wapi?

Rais wa kwanza wa Palestina, mipaka ya Wapalestina, utamaduni wa Wapalestina...
 
Rais wa kwanza wa Palestina, mipaka ya Wapalestina, utamaduni wa Wapalestina...

Nashangaa hawa watu hawajulikani mkuu ....

Hakuna mtu ambae anawajua hawa watu,yaani ile mipaka ya nchi ya Israeli ndio mipaka ya palestina,hii ni ajabu sana

Ngoja nisubiri labda nitajibiwa wakati huo walikuwa wapi!
 
Nashangaa hawa watu hawajulikani mkuu ....

Hakuna mtu ambae anawajua hawa watu,yaani ile mipaka ya nchi ya Israeli ndio mipaka ya palestina,hii ni ajabu sana

Ngoja nisubiri labda nitajibiwa wakati huo walikuwa wapi!
Hao ni wavamizi nasikia...
 
Sawa,lakini si walikuwa na nchi yao?

Waliwajuaje kama hawa ni wayahudi?

Walitokea hewani tu?

Unachanganya mambo mawili Wayahudi Asilia ambao asilia yao ni jangwani huko Mashariki ya kati leo (pelestina/Israeli) na Wayahudi wa kuapia Wazungu kutoka wa Ulaya!
Hawa ni watu wawili tofauti kundi la kwanza ni Jamii na wayahudi asilia na la pili ni wayahudi wa kidini (walowezi) tu na hawana uhusiano wowote ule Jangwa la Palestina/Israeli ya leo
!
 
Sawa,lakini si walikuwa na nchi yao?

Waliwajuaje kama hawa ni wayahudi?

Walitokea hewani tu?

Unaposema turudi nyuma, pia get in head ardhi wanayodai wayahudi walipewa na Mungu wao walipotoka Misri kama ilivyoandikwa kwa torati na biblia , ilikuwa ni ya watu wengine kabisaa (remember pia not everyone anaamini biblia au torati). Sasa kwa maana hiyo, wao wayahudi hicho kipande cha ardhi hakikuwa chao from the "beiggining".
 
Unachanganya mambo mawili Wayahudi Asilia ambao asilia yao ni jangwani huko Mashariki ya kati leo (pelestina/Israeli) na Wayahudi wa kuapia Wazungu kutoka wa Ulaya!
Hawa ni watu wawili tofauti kundi la kwanza ni Jamii na wayahudi asilia na la pili ni wayahudi wa kidini (walowezi) tu na hawana uhusiano wowote ule Jangwa la Palestina/Israeli ya leo
!

Kwahiyo Wayahudi wa "kuapia" na Wapalestina wote pale sio kwao sio?
 
Mkuu tatizo unaanzia mwaka 1946 wakati mimi hoja yangu ni kabla ya hapo,yaani kuanzia mwaka 1000 B.C

Nataka kujua wakati huo Wayahudi walikuwa wanaishi wapi?
Ni kweli hakukua na nchi inayoitwa Israel wakati huo?

Je wakati huo hao Wapalestina walikuwa wapi?


Mkuu sina uhakika sio kwamba the same land ilikuwa inaitwa Canaan? Hii ni are sina taaluma nayo. Nimekutana more than once na literature inayosema hawa Palestinians ni more of israelic roots na hata wazazi wao ndio walikuwa wakazi wa ancient Judea
[h=1]The Palestinians are descendants of the ancient Israelites[/h]Posted by Dr. Ashraf Ezzat on September 17, 2010

[h=3]The Jews now living in Israel and other places in the world are not at all descendants of the ancient people who inhabited the so called Kingdom of Judea.[/h]By Dr. Ashraf Ezzat
A Palestinian and an Israeli arguing over the disputed land.
Speaking at a cabinet meeting held in Tel Hai last february, Israeli PM Netanyahu said “Our existence depends not only on the IDF or our economic resilience – it is anchored in our store of knowledge and the national sentiment that we will bestow upon the coming generations, in our ability to justify our connection to the land.”
Netanyahu was so eloquent in his statement and he managed to touch upon the problematic status quo of the state of Israel when he mentioned Israel’s ability to justify its connection to the occupied land of Palestine. But is it true? Are the Israelis of today the descendants of the ancient Israelites? Does merely being a Jew give anyone the right to claim connection to the land of Palestine and its history? I think it is up to historians not politicians to decide that.
Only by understanding history can we understand why things are the way they are right now. Many of the past events and histories in the world have shaped what we are as of now.
Historians agree- despite the scanty archeological findings- that the ancient Israelites inhabited part of Palestine- or the southern Levant- thousands of years ago. But so did the Phoenicians, the Canaanites, Philistines , the Hittites and theAramaeans. Nevertheless we do not find some Canaanite people – whom were at least mentioned in theMesopotamian and Ancient Egyptian texts. – appearing in modern age after thousands of years had elapsed with claims to the right to return to the land of their ancestors.
How did the ancient Israelites live in that part of the ancient Near East?
Their old Bible states that they lived in a monarchy of a political and military power close enough to be the rival of magnificent kingdoms like the Egyptian, the Babylonian and the Hittites. But history and archeology says different.
[h=3]The Biblical Israelites[/h]In his book “the Bible unearthed” The archeologist Israel Finkelstein states that although the book of Samuel, and initial parts of the book of Kings, portray Saul, David and Solomon ruling in succession over a powerful and cosmopolitan united kingdom of Israel and Judah, Finkelstein regards modern archaeological evidence as showing that this is a pious fiction.
The Israelites lived as herders and farmers who never left their land.
The united kingdom of Israel and Judah depicted in the bible was nothing more than a sparsely populated rural region, nomadic tribes at best until the 7th century BCE. And the whole region was an Egyptian protectorate extending north to where Syria is today.
And by following the Biblical story of the Israelites we will find out that they were driven out of their land in the form of mass exile in 607 BCE by the Babylonians, and from Judea in 70 CE by the Roman Empire. Somehow we are more concerned with the second mass exile or what is better known as the “Diaspora” as it is the Zionists` pretext for claiming the right to return to their homeland.
According to Shlomo Sand in his bestseller book “ The invention of the Jewish people”, the description of the Jews as a wandering nation in exiles, “who wandered across seas and continents, reached the ends of the earth and finally, with the advent of Zionism, made a U-turn and returned en masse to their orphaned homeland,” is nothing but “national mythology.” For the ancient Israelite never left their homeland nor wandered across different parts of the world in what is known as the “Diaspora”
[h=4]Inventing the Diaspora[/h]“After being forcibly exiled from their land, the people remained faithful to it throughout their Dispersion and never ceased to pray and hope for their return to it and for the restoration in it of their political freedom” – thus states the preamble to the Israeli Declaration of Independence. This is also the quotation that opens the third chapter of Sand’s book, entitled “The Invention of the Diaspora.” Sand argues that the Jewish people’s exile from its land never happened.
“The supreme paradigm of exile was needed in order to construct a long-range memory in which an imagined and exiled nation-race was posited as the direct continuation of ‘the people of the Bible’ that preceded it,” Sand explains. Under the influence of other historians who have dealt with the same issue in recent years, he argues that the exile of the Jewish people is originally a Christian myth that depicted that event as divine punishment imposed on the Jews for having rejected the Christian gospel.
Sand added “I started looking in research studies about the exile from the land – a constitutive event in Jewish history, almost like the Holocaust. But to my astonishment I discovered that it has no literature. The reason is that no one exiled the people of the country. The Romans did not exile peoples and they could not have done so even if they had wanted to. They did not have trains and trucks to deport entire populations. That kind of logistics did not exist until the 20th century. From this, in effect, the whole book of shlomo sand was born: in the realization that Judaic society was not dispersed and was not exiled
In his historical research, sand attempts to prove that the Jews now living in Israel and other places in the world are not at all descendants of the ancient people who inhabited the so called Kingdom of Judea. Their origins, according to him, are in varied peoples that converted to Judaism during the course of history, in different corners of the Mediterranean Basin and the adjacent regions. Not only are the North African Jews for the most part descendants of pagans who converted to Judaism, but so are the Jews of Yemen (remnants of the Himyar Kingdom in the Arab Peninsula, who converted to Judaism in the fourth century) and the Ashkenazi Jews of Eastern Europe (refugees from the Kingdom of the Khazars, who converted in the eighth century).
The same conclusion was adopted byArthur Koestler in his famous book The Thirteenth Tribe (1976). It advances the controversial thesis that the modern Jewish population originating from North / East Europe and Russia including their descendants, or Ashkenazim, are not descended from the historical Israelites of antiquity, but from Khazars, a people originating and populating the Caucasus region (historical Khazaria) who converted toJudaism in the 8th century and later voluntarily migrating or were forced to move westwards into current Eastern Europe (Russia, Hungary, Ukraine, Poland, Belarus, Lithuania, Germanyand other places outside the Caucasus region) before and during the 12th and 13th century when the Khazar Empire was collapsing.
[youtube RZn8rq9_xD0&feature=player_embedded Ashkenazi Jews are NOT descendents of the Biblical Israelites! ]
[h=3]History’s final word[/h]So this is how history unfolds to refute the Biblical narration of a kingdom of David and Solomon, negates the Diaspora ever happened and tells us thatthe current Jews are mainly the descendants of Khazar tribes, berber tribes in north Africa and Arabic tribes in Yemen who converted to Judaism and have no strong Genetic link to the Jews who lived in Palestine during Roman times something that Israel now is trying to prove otherwise by financing Genetic clinical trials that only revealed Genetic similarities amongst Jews expected of people with the common ancestral origins mentioned above.
A flag and the memories of the lost land of Palestine.
The UN records show that there are 5 million uprooted Palestinians today do not have the right of return to their homes despite the fact that Ashkenazi Jews (European, with no ties to biblical Israel other than their adoption of the Jewish religion) do.
History negates that the ancient Israelites ever left their home land and approves the thesis of their conversion to Islam in the 7th century and in doing so undermines the historical connection of modern Jews to the land of modern day Palestine.
History says the chances that the Palestinians are descendants of the ancient Judaic people are much greater than the chances that modern Israelis are its descendents.

Source: The Palestinians are descendants of the ancient Israelites | Veterans Today

nipe darsa katika hili kama una la zaidi. All in all nashukuru kuwa mpango wa kuitaka Uganda iwe their Home haikufaulu kwa hali yoyote leo ingekuwa Waganda ndio wanafanya intifada hadi Mutukula
 
Unaposema turudi nyuma, pia get in head ardhi wanayodai wayahudi walipewa na Mungu wao walipotoka Misri kama ilivyoandikwa kwa torati na biblia , ilikuwa ni ya watu wengine kabisaa (remember pia not everyone anaamini biblia au torati). Sasa kwa maana hiyo, wao wayahudi hicho kipande cha ardhi hakikuwa chao from the "beiggining".

Uwepo wa nchi ya Israeli miaka 1000 B.C hauko kidini pekee bali hata kihistoria,hilo ni moja
Hoja iliyoko hapa ni nani mwenye haki ya kuishi kwenye eneo hilo baina ya Wapalestina na Wayahudi-hilo ni la pili

Nchi hiyo ilikuwa ni ya Wakanaan,je hawa watu wapo wapi leo?-Hilo la tatu

Kama unadai kuwa nchi hiyo haikuwa ni ya Wayahudi,unamaanisha hata Waingereza ambao leo wapo Marekani waondoke?
Kama ni hivyo,kuna watu walipigana vita zamani huko na wakachukua maeneo na leo yanahesabika yao kama vile Waarabu walioko Misri,unataka warudi walipokuwa wanaishi mababu zao?

Kama hao hawapaswi kurudi,kwanini unaleta hoja ya Wakanaani ambao ndio walikuwa wanaishi hapo ukitarajia warejeshwe huko?
 
Kwahiyo Wayahudi wa "kuapia" na Wapalestina wote pale sio kwao sio?

Wayahudi wa kuapia pale SIYO kwao bali Wayahudi asilia kama vile Waarabu pale ni kwao! Hawa wengine wa kuapia ni Wahamiaji (Walowezi) tu na kwao ni Bara Ulaya na ndio maana wana macho ya bluu na nywele za blondi!
 
Mkuu sina uhakika sio kwamba the same land ilikuwa inaitwa Canaan? Hii ni are sina taaluma nayo. Nimekutana more than once na literature inayosema hawa Palestinians ni more of israelic roots na hata wazazi wao ndio walikuwa wakazi wa ancient Judea


Source: The Palestinians are descendants of the ancient Israelites | Veterans Today

nipe darsa katika hili kama una la zaidi. All in all nashukuru kuwa mpango wa kuitaka Uganda iwe their Home haikufaulu kwa hali yoyote leo ingekuwa Waganda ndio wanafanya intifada hadi Mutukula

Kwanza kwa maana hii ni kwamba kukana kuwa hakukuwahi kuwepo kwa nchi inayoitwa Israeli ni upuuzii
Pili kukana kuwa hakukuwahi kuwepo na nchi inayoiwa Judea [Yahudi] ni upuuzii mwingine

Lakini pamoja na haya,kwa context ya huyu alieandika haya,wote kwa maana ya Wapalestina na Wayahudi ni wakaazi halali wa eneo hilo,sio?
 
Unajuwa hizi tafsiri za lugha huwa zinaleta mushkil mkubwa katika uelewa wa watu, ndiyo maana unaambiwa ukizijuwa lugha tofauti unapanuka sana kiufahamu kuliko mtu ajuae lugha moja. Kwa maana, kuna maneo katika lugha zingine huwezi kuyapata tafisiri yake kwa neno moja tu la lugha nyingine.

Mfano, sisi Taifa tunamaanisha nini? jaribu kufikiri.

Kwa lugha ya Kiyahudi ambayo ni lugha semitic kama ya Kiarabu, neno linalotumika ambalo sisi tunatafsiri kama Taifa ni "Goy" neno hilo linamaanisha "People" au "watu" tafsiri ambazo zinakaribiana na kutegemea na sentensi litakapotumika neno hilo, maana nyingine ya tafsiri kutokana na sentensi ya litakapotumika ni Nation au Taifa. Kumbuka Nation au Taifa halimaanishi nchi.

Wengi wetu, kutokana na lugha yetu, tumekuwa tukitafsiri Taifa kama Nchi lakini si hivyo, Taifa ni "watu" (people) na ndiyo maana hata sisi ni watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (People Of The United Republic of Tanzania).


Nadhani mpaka hapo utakuwa umenielewa vizuri, ikiwa bado kuna sehemu hujaelwa, usisite kutaka ufafanuzi zaidi na ntajitahidi niwezavyo kuendelea kukufahamisha katika hili.

Hakuna tofauti kati ya Taifa na Nchi na hii ni kwa lugha zote!
 
Wayahudi wa kuapia pale SIYO kwao bali Wayahudi asilia kama vile Waarabu pale ni kwao! Hawa wengine wa kuapia ni Wahamiaji (Walowezi) tu na kwao ni Bara Ulaya na ndio maana wana macho ya bluu na nywele za blondi!

Nimekuuliza kuhusiana makundi mawili ya watu ambao ni Wayahudi na Wapalestina,nimekuuliza kama kwa maana ya ulichoandika hao wote sio kwao na naona umejibu kuhusiana na kundi moja tu ambalo ni Wayahudi,vipi kuhusu Wapalestina?
 
Jewry is of their father the Devil, who is the father of lies and murder.

Jewry = The Global anti Christ of all humanity.
 
Nimekuuliza kuhusiana makundi mawili ya watu ambao ni Wayahudi na Wapalestina,nimekuuliza kama kwa maana ya ulichoandika hao wote sio kwao na naona umejibu kuhusiana na kundi moja tu ambalo ni Wayahudi,vipi kuhusu Wapalestina?

Wote Wayahudi asilia na Wapalestina/Waarabu pale Jangwani (Palestina/Israeli) ni kwao asilia!
 

Wote Wayahudi asilia na Wapalestina/Waarabu pale Jangwani (Palestina/Israeli) ni kwao asilia!

Mosi:Wapalestina ni Waarabu?
Pili:Wakati hao Wayahudi asilia walikua wanaishi hapo Wapalestina walikuwa wapi?
 
Back
Top Bottom