cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
- Thread starter
- #81
Mm bado naamini kuwa mtu anaweza kuwa na mali nyingi ila hana upendo kwenye family yake akifika nyumban amelewa matusi na dharau kibao ila mm najivunia upendo ulijaa ndani ya moyo wangu.Kuwa mkweli sio tatizo, ila unakuwa mkweli katika lipi na huo ukweli unausema vipi!!
Eti "japo sina kitu ila nakupenda!! " thats a mistake, onyesha ulichonacho sio usicho nacho.
Sent using Jamii Forums mobile app