Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

Bakk
Nadhani watanzania sisi ni wepesi sana wa kuhukumu. Huyo mwandishi wa habari aliyemuhoji angetuwekea clip ya mazungumzo yao maana wakati mwingine waandishi wetu wa habari hawana weledi wanauliza maswali ili wapate majibu wanayotaka wao. Pengine huyo Afande hakuzungumza ama hakumaanisha kilichoripotiwa.
Kimsingi mimi siwaamini waandishi wa habari wa nyakati hizi.
Baki na Imani yako.
 
Yuko sahihi sana huyu mama.....kwa aliyeangalia ile clip kwa kutulia bila mihemuko utaligundua hili.....yule dada alikuwa akitoa ushirikiano kabisaaaaa
Angekuwa anatoa ushirikiano angeomba maji? Au hukuangalia ulisimuliwa
 
Afande hana kosa hata moja.Yeye kasema mwanamke aliyebakwa alikuwa kama kahaba anayejiuza,WAPUMBAVU wamebadili kauli hiyo ionekane kama RPC amehalalisha kubakwa kwa mwanamke huyo.
Watanzania wengi ni kama misukule fata mkumbo.
 
Afande hana kosa hata moja.Yeye kasema mwanamke aliyebakwa alikuwa kama kahaba anayejiuza,WAPUMBAVU wamebadili kauli hiyo ionekane kama RPC amehalalisha kubakwa kwa mwanamke huyo.
Watanzania wengi ni kama misukule fata mkumbo.
kwahiyo kahaba anayejiuza anatakiwa kubakwa na kulawitiwa? na kwanini walimlazimisha aanze kumwomba msamaha afande aliyeibiwa mume? hauoni kuna kitu hapo?
 
Huyo afande RPC ukisikia clip zake jinsi anavopinga ukatili wa kubaka na kulawiti mbele ya kanisa utadhani anayaishi hayo kumbe ni kinyume chake..OGOPA SANA watu wanaojifanya watu wenye huruma na watakatifu kumbe in behind ni watu wabaya sana
 
kwahiyo kahaba anayejiuza anatakiwa kubakwa na kulawitiwa? na kwanini walimlazimisha aanze kumwomba msamaha afande aliyeibiwa mume? hauoni kuna kitu hapo?
Ni wapi RPC kasema ni halali kumbaka huyo mwanamke kwasababu ni kahaba?
Nikisema mtu aliyegongwa na gari alikuwa mlevi ninakuwa nimehalalisha kugongwa kwake?
Tumieni akili na sio kufuata mkumbo
 
dunia nzima imewakataa, mmebaki na rpc aliyetumbuliwa. kazi kwenu.
Kwa hiyo dunia ikisapoti kitu na wewe unafuata mkumbo bila kutumia akili zako?
Watu kama Galileo walipingwa na dunia nzima licha ya kwamba madai yao yalikuwa ya kweli.
Tumia akili,acha kufuata mkumbo ili uonekane mwema mbele za watu.
 
Kwa hiyo dunia ikisapoti kitu na wewe unafuata mkumbo bila kutumia akili zako?
Watu kama Galileo walipingwa na dunia nzima licha ya kwamba madai yao yalikuwa ya kweli.
Tumia akili,acha UPUMBAVU wa kufuata mkumbo ili uonekane mwema mbele za watu.
of course kitendo tu cha kutukana badala ya kutoa hoja, unakosa sifa za kujadili na watu wenye akili. pole sana.
 
Back
Top Bottom