JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Mjue Muigizaji na Mwanamuziki Grace B Jones aliyetamba miaka ya 1980, haswa kwenye muvi za James Bond.....muvi kama A view to a kill, ninamfananisha na Kenyan Actress, Lupita Nyong'o.
View attachment 768023GRACE JONES AND LUPITA NYONG'O.View attachment 768025 View attachment 768039
Hapana bana, Grace alikuwa mutu ya kazi.Grace anavutia ngozi yake nyororooooo huyu mwingine rangi ya ngozi haina mawasiliano na ushirikiano idara zote
Utafikiri Mtu na Dada yake.Wanafanana kweli
Duh, asiwe anavaa hizo nguo zisizo na mikono.Mh kwapa ya lupita.....am speechless
Kwa kuwa ni bonge la star, sasa Wasaidizi wake wamshauri uvaaji wake.Duh, asiwe anavaa hizo nguo zisizo na mikono.
Kwenye "Conan the destroyer" ndio amecheza na Schwezernegger.Hapana bana, Grace alikuwa mutu ya kazi.
Kwa sasa ni mtu mzima, ana 65 ila tangu ujana wake alikuwa mgumu tu, hebu ukibahatika umcheki kwenye muvi zake.
Kuna moja nimesahau jina alicheza na Schwazernegger....duh, alikuwa ni mascular.
Yeah, nimekumbuka.Kwenye "Conan the destroyer" ndio amecheza na Schwezernegger.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mh kwapa ya lupita.....am speechless
Ila not that bad.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
umenifanya nirudie kuangalia picha ya lupita
Exactly, ndio jina alilotumia kwenye James Bond, A View To a Kill.Mayday
Na aliitendea haki hiyo nafasi yake kwenye hiyo muvi aise.Exactly, ndio jina alilotumia kwenye James Bond, A View To a Kill.
Grace alikuwa undava undava.Na aliitendea haki hiyo nafasi yake kwenye hiyo muvi aise.
Kikweli aise.Grace alikuwa undava undava.