Huyu anatakiwa aishi na mjeda, maana kazi unazianza alfajiri...Un
afugaje mtu mvivu!? Mpangie kazi mpaka apaone pachungu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anatakiwa aishi na mjeda, maana kazi unazianza alfajiri...Un
afugaje mtu mvivu!? Mpangie kazi mpaka apaone pachungu hapo
Mwambie awe anapika nyumbani kupinguza gharama za kula mgahawaniZa kwenu!
Nipo mkoa fulani kikazi. Na nina ndugu yangu, mtoto wa Shangazi amekuja huku kikazi na nimempokea kama ndugu yangu. Namhifadhi kulala pamoja na kula.
Kinachonikera kwake ni uvivu. Vibarua vipo sio haba endapo ukiwa na bidii, na huko kwenye vibarua anaweza kwenda na akapata chakula huko huko (ukibahatika) na kupunguza gharama za chakula either kwake au kwangu.
Mimi kila siku naenda kazini ila yeye amekuwa mtu wa kulala tu na kuzurura.
Kuna mgahawa nimempeleka awe anaenda kula then nije kulipa ikiwa siku amekosa kibarua lakini imekuwa kigezo cha yeye kutojishughulisha (pengine kwa sababu ana uhakika wa kula na kulala).
Amekuwa analala, akiamka asubuhi anaenda pale mgahawani anakula, anaingia vijiwe vya drafti, vibanda umiza n.k.
Kiukweli wakuu ananipa gharama za chakula sana na ukizingatia kuna vibarua angefanya tu na kujiingizia angalau visenti pamoja na kula.
Je, nimfanyaje huyu wakuu maana ni kama yupo nyumbani kwa Baba yake amesahau kuwa tumekuja kupambana?
Pwani hamna uvivu usikariri kama unabisha mwambie ataje hilo kabila kama la pwani?Sio Yale makabila ya mungu ndio anajua. Kufanya kazi mtihani hayo. Sijui tuyasaidie vip walahi. Sio watu wa pwani huyo?
Hao watu wengi wao wakipata hela ya kula ni kutomb*n* mpka iishe ndo wakatafte nyingineMkuu watu wa pwani, mbona mzee msoga alipiga kazi ya kutukuka? au mandonga mtu kazi yeye atakuwa mtu wa wapi.... 😂
MfukuzeZa kwenu!
Nipo mkoa fulani kikazi. Na nina ndugu yangu, mtoto wa Shangazi amekuja huku kikazi na nimempokea kama ndugu yangu. Namhifadhi kulala pamoja na kula.
Kinachonikera kwake ni uvivu. Vibarua vipo sio haba endapo ukiwa na bidii, na huko kwenye vibarua anaweza kwenda na akapata chakula huko huko (ukibahatika) na kupunguza gharama za chakula either kwake au kwangu.
Mimi kila siku naenda kazini ila yeye amekuwa mtu wa kulala tu na kuzurura.
Kuna mgahawa nimempeleka awe anaenda kula then nije kulipa ikiwa siku amekosa kibarua lakini imekuwa kigezo cha yeye kutojishughulisha (pengine kwa sababu ana uhakika wa kula na kulala).
Amekuwa analala, akiamka asubuhi anaenda pale mgahawani anakula, anaingia vijiwe vya drafti, vibanda umiza n.k.
Kiukweli wakuu ananipa gharama za chakula sana na ukizingatia kuna vibarua angefanya tu na kujiingizia angalau visenti pamoja na kula.
Je, nimfanyaje huyu wakuu maana ni kama yupo nyumbani kwa Baba yake amesahau kuwa tumekuja kupambana?
Mi huyu angekuwa keshapakimbia kwangu mbonaHuyu anatakiwa aishi na mjeda, maana kazi unazianza alfajiri...
Muwekee vikwazo vya kiuchumiMkuu, unaweza kumtafutia kibarua lakini amekuwa akikwepa, mara aseme hajisikii vizuri, mara kachelewa...! yaan atafanya kila analoweza ili mradi tu asiende kibaruani halafu baadae unamkuta vijiweni.
Mtu wa tanga wwKaa nae kwa upendo umieleweshe kuwa anavyokaa bila kujishughulisha anapoteza muda na aelewe kuwa maisha ni magumu.Mwambie kuwa hata wewe unatamani kushinda nyumbani ila haiwezekani.Muweke wazi kuwa msaada wa kula na kulala unampa kwa sababu yeye ni ndugu yako na si kwa sababu unajiweza sana na pia ajue leo upo kesho haupo,leo unaweza kumsaidia kesho unaweza ukakwama ukashindwa kumsaidia.Msaidie kwa kutia chachu ya kutamani kufanikiwa na ikishindikana ndio umrudishe nyumbani.
Kwanini umeshania hivyo?Mtu wa tanga ww