Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

hata 'bulldozer' nasikia naye anao huu mtindo
 
mbona kama ana.....hapana tusubiri mda uamue
 
Hahahahah

Nakumbuka enzi hizo nikiwa six nikaenda bhana nikazama na bible yangu nikatulia kwenye kiti

Sasa ikafika wakati wa sadaka kama unavyojua sadaka ni siri yako na Mungu .

Ikafika zamu yangu kutoa sadaka ile naweka kwenye mfuko kuna wazee was kanisa wahuni nadiriki Kuwaita wahuni tu maana kwa walichonifanyia sio sawa kabisa kiimani

Jamaa basi si wakafungua mkono kilazima ili waone naweka kiasi gani maskini ya Mungu sikuwa na kazi na hio hela nilijibana kwenye nauli yangu ,

Basi jamaa wakakuta coin mkononi wakanitimua nisepe nikasema fresh huyo nikasepa hapo hapo wala siku kas tena maana nilipandwa na hasira .

Ni mia kumi sasa

Ila kanisa wanapiga makofi hadi mikono inauma hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…