Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Progeria??
Huyu Mlevi wa Konyagi ndio anaitwa Mchungaji?Mchungaji wa Kondoo wa Bwana.
Ila ht kipindi cha lile sakata la barabara alikutwa asb yuko tungi mbaya.Mi nakumbuka alisema mwenyewe kuwa anapiga WINE ila hakusema kama anapiga ngumu nyeupe
Hata Julius Kamarage kinga ya mwili wake ilipungua saaana hata magonjwa nyemelezi yakamshambulia na kumuua!!Ukosefu wa Kinga Mwilini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti gridi ya taifaUgua pole mchungaji!
Watanzania siku hizi huwa hatuchelewi kutoa ubashiri ambao hautuhusu, utasikia anasumbuliwa na gridi ya taifa.
Pombe mikasi na nyagiNimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
Atakuwa na mwisho mgumu, mbaya mpaka mtashangaaMchungaji wa Kondoo wa Bwana.
Atakuwa na mwisho mgumu, mbaya mpaka mtashangaa
Jr[emoji769]
Alitumia karama yake vibaya halafu akafanya featuring na mambo ya giza... Mungu hadhihakiwi
Mm nmesoma chekechea kanisani kwa lusekelo.lakini kipindi hicho lilikua kanisa la kawaida sana dogo yani bado kabisaAisee Aggy una roho ngumu. Ukaenda kabisa kanisani kwa Lusekelo?[emoji28][emoji28]
Alitumia karama yake vibaya halafu akafanya featuring na mambo ya giza... Mungu hadhihakiwi
Jr[emoji769]
Mganga hajigangi... Nyagi haijawahi kumuacha mtumishi salamaMchungaji Lusekelo ana Kisukari, nakumbuka amewahi kulisema hili kanisani.
Pole kwake, ni busara kuandaa mrithi wa wale kondoo wake!!
Sent using Jamii Forums mobile app