AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Upone haraka mtumishi wa Mungu🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takatifu na skendo za mapadri kulawiti watoto??? Mitume gani hao hata miujiza kanisani kwenu hamna
Sent using Jamii Forums mobile app
hatari...ni muda wetu kumuombea..Aisee noma Sana
Ahah wapo bize na bikiraTakatifu na skendo za mapadri kulawiti watoto??? Mitume gani hao hata miujiza kanisani kwenu hamna
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno ya mtaani/mitandaoni.
Kale , kapi?Si pombe ni kale kaugonjwa
Ni wale wale tuuu
Hiyo sura anaumwa nini? Kama sio ngada ni kisukari au ngoma
Utawatambua kwa matendo yao... Kuna vitu vingine ni vya kificho mno ndio huwatambulisha uhalisia waoWa Tanganyika Packers yule wa kweli hana mauza uza yule anachapa injili ya kweli sina mashaka naye
Sent using Jamii Forums mobile app
pete ina uhusiano gani hapo? madini yetu tuwaachie nani wayavae? ukiangalia vizuri hiyo ni dhahabu na tanzanite mali ya tz. ubaya uko wapi? tuyavae tu ni mungu ametupa.Mi huyu mzee amenipa maswali mengi bila majibu.
Hizo Pete ni za nini?
Kwanini miaka ile nliwahi kwenda kanisani kwake wahudumu wako standby wakimfosi kila alieacha macho wazi afumbe wakati wa kuabudu na ndo mda huo huo huyu mzee anaingilia kule mbele ya madhabahu. shida nini?na nliwahi ona wengine wanalalamikia hili.
Pili alikua ana kitaulo maalum pale kwenye altar mpaka maneno ya waumini yakazidi akaanza kujitetea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyoka wa Musa na Nyoka wa Farao wanafanana sana!
Hakuna binadamu anayeweza kutenda miujizi mkuu hata huko kanisani kwako hao wachungaji wasikuongopee kuwa wanao huo uwezo.....zile mbwembwe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
hii kauli yake ilikua tata mno, subiri ngwengwe imuoneshe
Mkuu Mshana Mfano Wa Hayo Matendo Ni Kama? Tunahitaji Sana Maoni Yako Ili Tujue Tunasimamia Upande Upi MkuuUtawatambua kwa matendo yao... Kuna vitu vingine ni vya kificho mno ndio huwatambulisha uhalisia wao
Jr[emoji769]
Afya yake siyo ile tuliyozoea.Duh...!au sukari
Kutoa maneno yenye unga unga wa wosia yalianza Agust mwaka janamwiba si unajua unasumbua kidogo lakini unaendrlea na mambo yako kama kawaida. Hiyo lugha nimemsikia yeye mwenyewe kwenye luninga akim nukuu Mt. Paulo. Na siku hiyo mahubiri yake yalikuwa kama mtu anaetoa maneno ya kwaheri. Kulikuwa hakuna kupiga piga makofi na kushangilia ila niliona watu wanapita mbele na kumpa hela mkononi .
Sent using Jamii Forums mobile app