COLE
Member
- Oct 21, 2006
- 89
- 79
Happy NgansalaNamkumbuka mkewe alikuwa dada mmoja anatangaza vipindi vya kwaya pale TBC ila nasikia alimtelekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy NgansalaNamkumbuka mkewe alikuwa dada mmoja anatangaza vipindi vya kwaya pale TBC ila nasikia alimtelekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaahaaa mkuu umeuwa.
Vp mkuu mbn kama unamshukuru Yesu amelipa kisasi ulichosubir mda mrefu... Asante Yesu.
Hizo nywele mkuu...japo ni mwanaume mwenzangu ila kimuonekano kafel sanaHa haaaaa dah umefikiria nn aisee kah
Usitumie nguvu kujiaminisha kuwa upo sahihi,
Wewe si kipimo cha ukweli kiasi kuwa ukikataa jambo inakuwa sahihi,
Jipe muda wa kuuliza na kujifunza,
Lkn km umeamua kukataa sababu tu akili yako imegota basi sawa,
Kanisa ni nini,
Biblia takatifu,
Mahali hapa patakatifu,
Hekalu takatifu
Nk nk nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sio unga basi ni ukimwi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
Eeh basi balaa,kuna kitu,hana tena ile haiba
Mkuu ile ni ishara ya Usela wala isikupe shidaIle style ya kutoa sadaka hadi umpe tano kwanza then unatoa.
Huwa naifikiria bila majibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri kauli ya dakitari jamani. Ila mtu anapoanza kuvaa makoti kotiN
Ngwengwe tena???