Nchi ya Namibia imekuwa Nchi ya kwanza kutoka Africa kwa kuweza kusafirisha nyama kwenda USA . Shehena ya kwanza ya nyama tani 25000 inaondoka mwezi huu. Tanzania tunaweza kufanya biashara ya nyama kama tukiamua kwani tuna maeneo mazuri sana ya kufugia ng'ombe .
Botswana pia ni nchi nyingine ya Kiafrika ambayo inajihusisha na usafirishaji wa nyama. Rais Kikwete alikuja na sera ya kilimo kwanza lakini iliishia kwenye makaratasi.
Bado naamini kilimo kinaweza kutupeleka mbele zaidi kuliko viwanda.Morale ya wakulima ipo chini sana hata wachaga siku hizi wana pendelea kulima ndizi zaidi kuliko kahawa
Botswana pia ni nchi nyingine ya Kiafrika ambayo inajihusisha na usafirishaji wa nyama. Rais Kikwete alikuja na sera ya kilimo kwanza lakini iliishia kwenye makaratasi.
Bado naamini kilimo kinaweza kutupeleka mbele zaidi kuliko viwanda.Morale ya wakulima ipo chini sana hata wachaga siku hizi wana pendelea kulima ndizi zaidi kuliko kahawa