Namibia yapeta kusafirisha nyama Marekani

Namibia yapeta kusafirisha nyama Marekani

Majengo ya Tanganyika Packers , sasa hivi Unapata Mafuta ya upako toka kwa Mwamposa
 
Tuna chuo kikuu cha kilimo na vyuo kibao vya mifugo vinatoa wataalamu wabobezi wa kilimo na mifugo ila wakimaliza kusoma hawalimi wala kufuga wanazurura mijini wakiwa wamelamba suti wakitembea kifua mbele huku wakiwa wamebeba mabegi yenye laptop migongoni zenye takwimu za kilimo na mifugo wasiyofuga wala kulima
[/QUO
Vyuo vya kilimo ni wastage of space ,havijabadili maisha ya Watanzania
 
Ngombe zetu nyingi tatizo ni magonjwa na malishoo yao kwa ngombe syo mazuri!
Natamani ingerudi Enzi za tanganyika packers wale walikuwa wazungu na walikuwa wanasafirisha nyama nje.... Sema tulipowapora tuendeshe sisi Ahh tukauaaaaa.

Ova


Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo letu in elimu , mfugaji wa ngombe siku zote anazungumzia kulisha ngombe majani, tu. wenzetu walioendelea ni majani na nafaka kwa pamoja Je tuna wafugaji wanaohifadhi majani kwa ajili ya kiangazi? ,Jibu hakuna
 
Back
Top Bottom