Namibia yapeta kusafirisha nyama Marekani

Namibia yapeta kusafirisha nyama Marekani

Soko la maziwa la ndani hatujalitendea haki pia. Fikiria kama tunatengeneza ice cream na milkshake zisambae mpaka huku kwetu Nanjilinji na Kaliua. Yote haya yanafanikiwa kuanzia kwenye ubora wa barabara.
Tunatengeneza vyote hivyo plus yoghurt na mtindi na tunafanya packaging nzuri sana, consumer behaviour ya wabongo ndio janga..
Hizo milk shakes, ice cream yoghurt's na mtindi ni luxuries kwa familia nyingi sana.otherwise aandikiwe na daktari ndio atanunua...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nje ya mada, kuna nyama ya ranch ya taifa huwa nasikia ni nzuri sana hii ya vingunguti hamna kitu. je mabucha yake yanapatikana wapi? natamani kujaribu
 
nje ya mada, kuna nyama ya ranch ya taifa huwa nasikia ni nzuri sana hii ya vingunguti hamna kitu. je mabucha yake yanapatikana wapi? natamani kujaribu
Ipo pale karibu na mnara wa saa dar es salaam jengo nimesahau jina huwa nanunua pale
 
Hapa kwetu tu bei ya nyama haishikiki kwa sasa.
 
Soko la maziwa la ndani hatujalitendea haki pia. Fikiria kama tunatengeneza ice cream na milkshake zisambae mpaka huku kwetu Nanjilinji na Kaliua. Yote haya yanafanikiwa kuanzia kwenye ubora wa barabara.
Mmmmh wabongo hawanywagi maziwa nafuu hata Rwanda .bongo mpaka yawe prescribed na Dr .
 
Namibia kuna wazungu wengi wanafuga kisasa sana ngombe wa nyama kwa kiwango cha kimataifa

ngombe wao wa nyama ni ile mingombe mikubwa sana kama kiboko

sisi hapa ufugaji huo wa ngombe wa nyama bado sekta binafsi haijachangamka

tenda za kusafirisa nyama nje ziko kibao tatizo ni upatikanaji wa hiyo nyama

mfano waweza ingia mkataba wa kupekeka nyama uarabuni tani elfu 25 kwa wiki ndege ya kubeba wanaileta wenyewe ukiingia huo mkataba utashindwa na utafilisiwa sababu wafugaji wetu hawafugi kibiashara huuza ngombe siku akijisikia au akiona ana shida .

si kwamba hatuwezi sekta binafsi inapenda tu kufanya umachinga na uchuuzi wa kuuza bidhaa za nje badala ya ufugaji
Nimekusoma sana.

Inabidii tuchangamkie fursa mkuu.
 
Kupanga ni kuchagua, bado tuna katiba inayompa Rais nguvu kuzidi hata bunge.Wazo ATCL sawa kwa vibua ndege za kati focus usafiri wa ndani na majirani, hiyo midege mikubwa hiyo pesa tungewekeza kilimo umwagiliaji na mifugo wataalam vijana sua nk tungelisha dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watalaamu wetu wanasubiria serikali, basi tuandike maumivu.

Ila sio kila kitu kitafanywa na serikali inabidi kama msomi uonyeshe njia
 
viking,
Wakulima hao, ni waleee .... mabeberu wa enzi zile. Settlers. Jiulize vibarua wao ni kina nani. Matter of fact ile nchi ukiingia humu ni kama "ujerumani flani". Dont compare na Bongo.
Nimeishi kusini mwa Africa , Ndio naelewa kuna wakulima Wenye asili ya kijerumani ,Je ranch za Taifa zimekwenda wapi ?
 
Ngombe zetu nyingi tatizo ni magonjwa na malishoo yao kwa ngombe syo mazuri!
Natamani ingerudi Enzi za tanganyika packers wale walikuwa wazungu na walikuwa wanasafirisha nyama nje.... Sema tulipowapora tuendeshe sisi Ahh tukauaaaaa.

Ova


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namibia kuna wazungu wengi wanafuga kisasa sana ngombe wa nyama kwa kiwango cha kimataifa

ngombe wao wa nyama ni ile mingombe mikubwa sana kama kiboko

sisi hapa ufugaji huo wa ngombe wa nyama bado sekta binafsi haijachangamka

tenda za kusafirisa nyama nje ziko kibao tatizo ni upatikanaji wa hiyo nyama

mfano waweza ingia mkataba wa kupekeka nyama uarabuni tani elfu 25 kwa wiki ndege ya kubeba wanaileta wenyewe ukiingia huo mkataba utashindwa na utafilisiwa sababu wafugaji wetu hawafugi kibiashara huuza ngombe siku akijisikia au akiona ana shida .

si kwamba hatuwezi sekta binafsi inapenda tu kufanya umachinga na uchuuzi wa kuuza bidhaa za nje badala ya ufugaji
Umeongea Jambo la msingi Sana sana
 
Soko la maziwa la ndani hatujalitendea haki pia. Fikiria kama tunatengeneza ice cream na milkshake zisambae mpaka huku kwetu Nanjilinji na Kaliua. Yote haya yanafanikiwa kuanzia kwenye ubora wa barabara.
Huko Nanjilinji waache kunywa togwa ya Mia mbili ,ulanzi WA Mia tatu ,wanywe milkshake ya elfu tatu kweli au unataka viwanda vife
 
Nimeelewa na huwezi kuwalaumu, wengi wasiokunywa maziwa wanapata calcium kutoka kwa dagaa.
Nafasi ya maziwa ni kubwa hasa kwa watoto wadogo.kumbuka hata dagaa ni baadhi tu ya maeneo na wengi hawa afford
 
Katika kupanga mipango ya kilimo kwanza ni muhimu kuwahusisha wahadhiri wa vyuo vya kilimo. Waweze kuandaa course ndefu na fupi zitakazo wanufaisha raia katika uwekezeji wa kilimo na ufugaji.

Kutafuta masoko ya bidhaa, soko la ndani peke yake ni kubwa kama kuna usafiri wa kueleweka. Watu wa Bukoba na Kigoma wanaweza kupata samaki barafu kutoka Tanga na nyanya kutoka Lushoto.
Achana na hizi ngojera.

Serikali ya Tanzania haijawahi kufurahi wananchi wake wafikie hizi levels.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ufugaji wa mazoea ndiyo haujatuletea tija mpaka sasa. Serikali iandae masomo mafupi kwa vijana na baada ya masomo ndiyo pesa ya vikoba ianzie Hapo. Si kuwakopesha vijana bodaboda na wakipata ajali hawasaidiwi matibabu.
Unapoteza muda wako.

Hivyo vikoba havikufanyi ufike levels za settlers ana mtaji wa billions of money.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom