Tunatengeneza vyote hivyo plus yoghurt na mtindi na tunafanya packaging nzuri sana, consumer behaviour ya wabongo ndio janga..Soko la maziwa la ndani hatujalitendea haki pia. Fikiria kama tunatengeneza ice cream na milkshake zisambae mpaka huku kwetu Nanjilinji na Kaliua. Yote haya yanafanikiwa kuanzia kwenye ubora wa barabara.
Ipo pale karibu na mnara wa saa dar es salaam jengo nimesahau jina huwa nanunua palenje ya mada, kuna nyama ya ranch ya taifa huwa nasikia ni nzuri sana hii ya vingunguti hamna kitu. je mabucha yake yanapatikana wapi? natamani kujaribu
Ipo pale karibu na mnara wa saa dar es salaam jengo nimesahau jina huwa nanunua pale
Mmmmh wabongo hawanywagi maziwa nafuu hata Rwanda .bongo mpaka yawe prescribed na Dr .Soko la maziwa la ndani hatujalitendea haki pia. Fikiria kama tunatengeneza ice cream na milkshake zisambae mpaka huku kwetu Nanjilinji na Kaliua. Yote haya yanafanikiwa kuanzia kwenye ubora wa barabara.
Nimeelewa na huwezi kuwalaumu, wengi wasiokunywa maziwa wanapata calcium kutoka kwa dagaa.Mmmmh wabongo hawanywagi maziwa nafuu hata Rwanda .bongo mpaka yawe prescribed na Dr .
Nimekusoma sana.Namibia kuna wazungu wengi wanafuga kisasa sana ngombe wa nyama kwa kiwango cha kimataifa
ngombe wao wa nyama ni ile mingombe mikubwa sana kama kiboko
sisi hapa ufugaji huo wa ngombe wa nyama bado sekta binafsi haijachangamka
tenda za kusafirisa nyama nje ziko kibao tatizo ni upatikanaji wa hiyo nyama
mfano waweza ingia mkataba wa kupekeka nyama uarabuni tani elfu 25 kwa wiki ndege ya kubeba wanaileta wenyewe ukiingia huo mkataba utashindwa na utafilisiwa sababu wafugaji wetu hawafugi kibiashara huuza ngombe siku akijisikia au akiona ana shida .
si kwamba hatuwezi sekta binafsi inapenda tu kufanya umachinga na uchuuzi wa kuuza bidhaa za nje badala ya ufugaji
Kama watalaamu wetu wanasubiria serikali, basi tuandike maumivu.Kupanga ni kuchagua, bado tuna katiba inayompa Rais nguvu kuzidi hata bunge.Wazo ATCL sawa kwa vibua ndege za kati focus usafiri wa ndani na majirani, hiyo midege mikubwa hiyo pesa tungewekeza kilimo umwagiliaji na mifugo wataalam vijana sua nk tungelisha dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishi kusini mwa Africa , Ndio naelewa kuna wakulima Wenye asili ya kijerumani ,Je ranch za Taifa zimekwenda wapi ?viking,
Wakulima hao, ni waleee .... mabeberu wa enzi zile. Settlers. Jiulize vibarua wao ni kina nani. Matter of fact ile nchi ukiingia humu ni kama "ujerumani flani". Dont compare na Bongo.
Umeongea Jambo la msingi Sana sanaNamibia kuna wazungu wengi wanafuga kisasa sana ngombe wa nyama kwa kiwango cha kimataifa
ngombe wao wa nyama ni ile mingombe mikubwa sana kama kiboko
sisi hapa ufugaji huo wa ngombe wa nyama bado sekta binafsi haijachangamka
tenda za kusafirisa nyama nje ziko kibao tatizo ni upatikanaji wa hiyo nyama
mfano waweza ingia mkataba wa kupekeka nyama uarabuni tani elfu 25 kwa wiki ndege ya kubeba wanaileta wenyewe ukiingia huo mkataba utashindwa na utafilisiwa sababu wafugaji wetu hawafugi kibiashara huuza ngombe siku akijisikia au akiona ana shida .
si kwamba hatuwezi sekta binafsi inapenda tu kufanya umachinga na uchuuzi wa kuuza bidhaa za nje badala ya ufugaji
Huko Nanjilinji waache kunywa togwa ya Mia mbili ,ulanzi WA Mia tatu ,wanywe milkshake ya elfu tatu kweli au unataka viwanda vifeSoko la maziwa la ndani hatujalitendea haki pia. Fikiria kama tunatengeneza ice cream na milkshake zisambae mpaka huku kwetu Nanjilinji na Kaliua. Yote haya yanafanikiwa kuanzia kwenye ubora wa barabara.
Ndiyo maana mlitufisadi korosho ili tuendelee kunywa togwa la mia mbili?Huko Nanjilinji waache kunywa togwa ya Mia mbili ,ulanzi WA Mia tatu ,wanywe milkshake ya elfu tatu kweli au unataka viwanda vife
Nafasi ya maziwa ni kubwa hasa kwa watoto wadogo.kumbuka hata dagaa ni baadhi tu ya maeneo na wengi hawa affordNimeelewa na huwezi kuwalaumu, wengi wasiokunywa maziwa wanapata calcium kutoka kwa dagaa.
Achana na hizi ngojera.Katika kupanga mipango ya kilimo kwanza ni muhimu kuwahusisha wahadhiri wa vyuo vya kilimo. Waweze kuandaa course ndefu na fupi zitakazo wanufaisha raia katika uwekezeji wa kilimo na ufugaji.
Kutafuta masoko ya bidhaa, soko la ndani peke yake ni kubwa kama kuna usafiri wa kueleweka. Watu wa Bukoba na Kigoma wanaweza kupata samaki barafu kutoka Tanga na nyanya kutoka Lushoto.
Si walizuia mahindi kwenda nchi jirani?Kama Kunde na Mahindi yanapigwa marufuku kuuzwa Nchi Jirani badala ya kutengenezwa mazingira mazuri ya uuzaji.
Sembuse Nyama kuuzwa Marekani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoteza muda wako.Huo ufugaji wa mazoea ndiyo haujatuletea tija mpaka sasa. Serikali iandae masomo mafupi kwa vijana na baada ya masomo ndiyo pesa ya vikoba ianzie Hapo. Si kuwakopesha vijana bodaboda na wakipata ajali hawasaidiwi matibabu.
Hata nyanya zinazolimwa ni GMO.uko outdated GMO tanzania ilishapigwa marufuku mazao yote vyuo vya majaribio yakaharibiwa na utafiti ukafutiliwa mbali
Mnara ni upi huo mkuu upo eneo gani?Ipo pale karibu na mnara wa saa dar es salaam jengo nimesahau jina huwa nanunua pale