Tuna chuo kikuu cha kilimo na vyuo kibao vya mifugo vinatoa wataalamu wabobezi wa kilimo na mifugo ila wakimaliza kusoma hawalimi wala kufuga wanazurura mijini wakiwa wamelamba suti wakitembea kifua mbele huku wakiwa wamebeba mabegi yenye laptop migongoni zenye takwimu za kilimo na mifugo wasiyofuga wala kulima
[/QUO
Vyuo vya kilimo ni wastage of space ,havijabadili maisha ya Watanzania