Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

The beautiful onyinye
Kabali yake chino
Chinno wangu 😻😻
Nakusubiri unipeleke vacation jamani darling 😹😹

Hivi chino unaendaga wapi? Unaibukaga km mzimu unanitafuta halafu huyoo unazama tena chimbo.!! Kwanza pesa za mauzo za ile biashara sijaziona..! 😹😹🤣

Km umehonga nakupa talaka 7 mpk za mizimu yenu y’a ukoo.
 
Oa tu mkuu kuna kijana mmoja hana kazi zaidi ya wizi na udokozi ila alioa akiwa hana hata geto akawa analala vibarazani kwa watu na kwa vibanda vya gongo now wana miaka mitatu na mtoto mmoja na maisha yanaenda tu.tena wanapendana kweli
 
Wakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.

Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.

Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
Hapo pambana upate sabuwufa ya elufu 70, ila kama gipusam lipo kausha.... mtasikiliza sebene kwenye simu uliyoandikia uzi
 
Back
Top Bottom