Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Unachangamsha genge mkuu. JF expert member wa mwaka 2008, huwezi kuwa na utoto kiasi hicho. Sema uzi utasaidia vijana wengine wenye uwezo na lengo kama lako. Ila ww unachangamsha kijiwe
 
Wewe ni mrangi,kama sio mrangi mwenyeji wa mikoa ya pwani

Mkiwaga na Tv tu ndani mnawaza kuoa nyie
Mimi sio mkabila lakini naungana na wewe Mkuu, hapa akipata wa Singida haki watazaa hata watoto tano kwa vitu ivyo ivyo.
 
Back
Top Bottom