mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
- Thread starter
- #61
hamna shida sehemu ya kulala ipo tyrAtakuw bora zaid akikukuta hvyo mkasak laifu pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna shida sehemu ya kulala ipo tyrAtakuw bora zaid akikukuta hvyo mkasak laifu pamoja
Sasa Mrembo ukipata unaweza kumlinda ndugu Mlinzi Mlalafodofo?Wakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
Huyo anazingua anaweza kuwa mboga 7 huyomkuu mbona zalau?
niko kwenye maandalizi kwanza kiongoziUnae kwanza huyo ke au ndio nayeye unataka uanze kumsaka kwa kudra za mwenyezi?
Kazi ipoWakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
Picha kadownload hiyo 😃😃😃Kijana yupo likizo shule zimefungwa
Hapana bado we pambanamkuu mbona zalau?
Dharau ✅mkuu mbona zalau?
Pambananiko kwenye maandalizi kwanza kiongozi
inshalaah nshaanza kuona mwanga kuna dm chache na watu wema wa apa wameenda mbali zaidi kwa kunielekeza kwa warembo kama financial servicesAkipata wale age imesogea kwenye 33yrz inataka kutoboa 40 hao mbona huyu tajiri!
Huoni humu wanatamani hata mahari walipe wao?
adi kieleweke mkuuKazi ipo
Mwana ataambiwa nguvu za kiume hana hata kama akitumia mitishamba gani kwa stress atazopewaSahihi kabisa. Oa
inshallah kiongozi ila naamini hata humu kuna wake wengi tu wema na nusu kama huyu Lamomy na mwenzie Money Penny .nimechoka kulala mwenyeweShida sio kuoa, shida kumpata huyo mwanamke sahihi wa kuolewa, hapa ndio kwenye MABOKOlikolo
🤣🤣akipatikana hakuna kulala ni fulu kucheza mdako na kidalipooSasa Mrembo ukipata unaweza kumlinda ndugu Mlinzi Mlalafodofo?
Mimi sio mkabila lakini naungana na wewe Mkuu, hapa akipata wa Singida haki watazaa hata watoto tano kwa vitu ivyo ivyo.Wewe ni mrangi,kama sio mrangi mwenyeji wa mikoa ya pwani
Mkiwaga na Tv tu ndani mnawaza kuoa nyie
pamoja kiongoziNgoja waolewaji waje.