Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Hee🤯utapeli umeingiaje kiongozi?
Unatoa mahali ,unasimia kila kitu kwani wewe Haina wazazi haukusomeshwa!? Kwa Nini wasitoe mahali na wao!?? .... Shida ni za upande wao tu siku zote ikitokea upande wako mpaka mkubaliane nuoja litokee kwao halafu usisaidoe uone...
 
Back
Top Bottom