mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
- Thread starter
- #81
bado sina TV mkuuWewe ni mrangi,kama sio mrangi mwenyeji wa mikoa ya pwani
Mkiwaga na Tv tu ndani mnawaza kuoa nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado sina TV mkuuWewe ni mrangi,kama sio mrangi mwenyeji wa mikoa ya pwani
Mkiwaga na Tv tu ndani mnawaza kuoa nyie
inshallah 🤲Mimi sio mkabila lakini naungana na wewe Mkuu, hapa akipata wa Singida haki watazaa hata watoto tano kwa vitu ivyo ivyo.
kivipi kiongozi mbn ndoa zipo kila leoAchana na ndoa ni utapeli tu
Ukimleta ndani utatamani kuikimbia nyumba. Hii ni kwa mtu asiye sahihi lakinikivipi kiongozi mbn ndoa zipo kila leo
Hata maelezo kacopy fbPicha kadownload hiyo 😃😃😃
The beautiful onyinyeWeka tv ya chogo kwanza, sasa mahi wako ataangalia wapi series zinazotafsiliwa na dj Mark 😹😹😹
Vitu vingi kabisa hivyo ntaongeza na kigoda changu kimoja maisha yaanze mkuu tusicheleweshe watoto shule😀😀inshalaah nshaanza kuona mwanga kuna dm chache na watu wema wa apa wameenda mbali zaidi kwa kunielekeza kwa warembo kama financial services
Hizi assist lazima kieleweke mwaka huu, nimeshmjibu nasubiri kama atakubali😀Haya jamani financial services nenda mkaanze kupambana pamoja namwamba
Haya bana mambo yakiwa vizuri nitawapa tv inch 55 na kingamuzi cha azam tvHizi assist lazima kieleweke mwaka huu, nimeshmjibu nasubiri kama atakubali😀
Wow mshenga uko vizuri, tunashukuruHaya bana mambo yakiwa vizuri nitawapa tv inch 55 na kingamuzi cha azam tv
Shida hamjamuuliza swali zuri .. sawa ana miliki hizo Mali ..Je ana miliki akili!??....Akipata wale age imesogea kwenye 33yrz inataka kutoboa 40 hao mbona huyu tajiri!
Huoni humu wanatamani hata mahari walipe wao?
Unafikiri ukiniambia nirudie kile kitendo ntakusikiliza !??..... Ni basi tu wale watoto ..la sivyo ...😆kwann kiongozi mbn nyie mmeoa
Karibu sana ila sasa ngoja ngoja uumiza matumbo. Fasta fasta basiWow mshenga uko vizuri, tunashukuru
🤣🤣🤣kabisa mkuumkuu tusicheleweshe watoto shule😀😀
Ukiwa nazo wewe inatoshasijaona akili humo ndani
Mkuu hapo bado upo kwenye troubleWakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
mwache aoe huwezi jua mwanamke ataleta baraka gani baada ya ndoaNop, endelea kujipanga zaidi