Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Hicho chumba umepiga picha vitu unavyomiliki, sijaona akili humo ndani.

Huyo unayemuoa atakuwa anaenda kushinda kwenye getto la msela hapo kwa jirani yako wakati wewe umetoka kwenda kusakura mawindo.

Yamkini hurusiwi kuoa maana hujui hata ndoa inataka nn pumbavu!!!
 
Back
Top Bottom