Chinno wangu π»π»The beautiful onyinye
Kabali yake chino
πΉπΉπΉinshallah kiongozi ila naamini hata humu kuna wake wengi tu wema na nusu kama huyu Lamomy na mwenzie Money Penny .nimechoka kulala mwenyewe
unakwamisha harakati kiongoziπΉπΉπΉ
Mi haniwezi wala asijichoshe, huo wema sina kabisa..!!
unaona sasa unaishia kwa maharamia wanakupiga matukio. ukuje aisee geto limetimia.Kwanza pesa za mauzo za ile biashara sijaziona.
kabisa mkuu watu hawajuagi tumwache aoe huwezi jua mwanamke ataleta baraka gani baada ya ndoa
Nikajua nyumba kumbe ghetto πΉπΉunaona sasa unaishia kwa maharamia wanakupiga matukio. ukuje aisee geto limetimia.
ya ni kweli kwa sababu huwezi jua milango ya mafanikio ya kafunguliwa lakin wengi wanaliogopa Hilo swalakabisa mkuu watu hawajuagi tu
shida ya warembo wa jF hawataki msoto wanataka uwe na vogueπya ni kweli kwa sababu huwezi jua milango ya mafanikio ya kafunguliwa lakin wengi wanaliogopa Hilo swala
ππππ mzee bado sana utakimbiwa chiefWakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
sana kiongozi. sasa namm nataka kulala na mrembo bila nguo. lazma kieleweke.Kaka fanya hima uoe haraka kabla mwaka haujapinduka
Hapo pambana upate sabuwufa ya elufu 70, ila kama gipusam lipo kausha.... mtasikiliza sebene kwenye simu uliyoandikia uziWakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
πππsawa mkuu pamoja sanaHapo pambana upate sabuwufa ya elufu 70