Kira mpinzani kwa kweli bongo lazima aitwe siyo raia, au anatumiwa na mabeberu. Ina maana haizuhusiwi kuwa an mawazo mbadala?CCM wakikosa hoja ndo yao, eti wameanza sema Lissu sio RAIA, duh...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kira mpinzani kwa kweli bongo lazima aitwe siyo raia, au anatumiwa na mabeberu. Ina maana haizuhusiwi kuwa an mawazo mbadala?CCM wakikosa hoja ndo yao, eti wameanza sema Lissu sio RAIA, duh...
Huyo Lisu wenu hafiki popote. Ikulu mtaisikia kupitia kwenye twiter ya kigogo na kina maria sarungimtu wetu nani? Pombe??
Ni bora kibaraka kuliko wezi na wanyonyaji wa mali zetuHuyo mtu wenu hafiki popote watz hawatachagua kibaraka
Mzee Pombe hata mke wake hampi kura.Huyo Lisu wenu hafiki popote. Ikulu mtaisikia kupitia kwenye twiter ya kigogo na kina maria sarungi
Hujui kibaraka wewe!Ni bora kibaraka kuliko wezi na wanyonyaji wa mali zetu
Kwa mujibu wako wewe! Hata mimi naweza kusema Lisu hata mkewe hampi kura! Shida iko wapi hapo?Mzee Pombe hata mke wake hampi kura.
Haya tuma salamu kwa mataga wenzako 245 popote walipo.Kwa mujibu wako wewe! Hata mimi naweza kusema Lisu hata mkewe hampi kura! Shida iko wapi hapo?
Lisu hakubaliki hata mkewe! Haya shida iko wapi hapo?Magufuli hakubaliki hata na mkewe
Wewe unafurahia lipi katika mfumo huu wa uongozi? Endapo tu VP, PM, Speaker wa Bunge hata Jaji mkuu hawana mbali ya maamlaka yao inabidi wasujudu mkuu wa wa nchi.Huu mfumo wa kifalme si sahihi kwa watu huru , kutegemea hisani ya kiongozi kaamka vipi ni dhambi kubwa inatosha.Huyo Lisu wenu hafiki popote. Ikulu mtaisikia kupitia kwenye twiter ya kigogo na kina maria sarungi
Yani kwa vile wewe unaona mfumo haufai ndio unataka watz wote tuone hivyo?Wewe unafurahia lipi katika mfumo huu wa uongozi? Endapo tu VP, PM, Speaker wa Bunge hata Jaji mkuu hawana mbali ya maamlaka yao inabidi wasujudu mkuu wa wa nchi.Huu mfumo wa kifalme si sahihi kwa watu huru , kutegemea hisani ya kiongozi kaamka vipi ni dhambi kubwa inatosha.
Nyingine sip propaganda ni wivuHivi Kati ya Lissu na kikwete Nani anaewapenda wazungu yet leo Lissu ndo awe kibaraka CCM hawana aibu
Hujui hata maana ya kibaraka wewe. Mtu akiamka kumtafuta daktari toka nje ya nchi naye utamuita kibaraka! ? Huyo armstadam ni wakili toka nje kumtettea mtanzania co dhambi wala haikuanzia kwa Lisu. Ficha ushamba wako wewe punguani! Lisu huyu aliyetetea mikataba kibovu ya Madini toka ccm wanayagawa hovyo chini ya mkapa anakuaje kibaraka???? Ama hufuatilii mambo ama unaishi kwa ujinga????Ile tu AMSTERDAM kumtolea matamko Lisu juu ya uchaguzi inaonesha ni jinsi gani alivyo kibaraka!
Kwani ulitaka ajioneshe wazi wazi kama yeye ni kibaraka?
Au unafikir mabeberu wanatumia watu wajinga kuwa vibaraka wao?
Pole sana kijana Lisu hawi raisMgonjwa wa akili bado hujapona?
kama mwanasheria wake pia. kwani umekasirika?Mkuu, Lisu ni kibaraka wewe jua hilo...
Hivi Amsterdam anakuwa msemaji wa Lisu juu ya uhuru wa NEC kama nani hasa katika nchi hii?
Tunajua ni mwansheria wake kwa yaliyomsibu sawa. Lakini huku kwenye uchaguzi yeye kama nani hasa?
Usinifokee sasa!Hujui hata maana ya kibaraka wewe. Mtu akiamka kumtafuta daktari toka nje ya nchi naye utamuita kibaraka! ? Huyo armstadam ni wakili toka nje kumtettea mtanzania co dhambi wala haikuanzia kwa Lisu. Ficha ushamba wako wewe punguani! Lisu huyu aliyetetea mikataba kibovu ya Madini toka ccm wanayagawa hovyo chini ya mkapa anakuaje kibaraka???? Ama hufuatilii mambo ama unaishi kwa ujinga????
Naogopa nsije nikawa naongea na mtu asiyesoma! Ulishawahi kusikia wapi wakili anapangiwa mambo ya kusema juu ya mtu anayemtetea? Kwamba akisema hili anakua wakil. Akisema like anakuwa kibaraka.Usinifokee sasa!
Amsterdam tunajua ni wakili wa Lisu kwa yaliyomkuta, sawa.
Lakini haya matamko yake ya kumsemea Lisu kuhusu uhuru wa NEC yeye anamsemea Lisu kama nani hasa?
Huu uchguzi yeye unamhusu kama nani?
Au wewe unafikiri kibaraka anajitangaza?
Yani huyo mtu wenu akili yake yote imejaa wazungu. Eti hatuwezi kuishi bila wazungu, huyu ana akili kweli?
Tutaanza lini na sisi sasa kujitegemea kwa akili na mawazo kama ya huyu mtu wenu?
Una maana ndiyo maana hawajamtumia jiwe?Ile tu AMSTERDAM kumtolea matamko Lisu juu ya uchaguzi inaonesha ni jinsi gani alivyo kibaraka!
Kwani ulitaka ajioneshe wazi wazi kama yeye ni kibaraka?
Au unafikir mabeberu wanatumia watu wajinga kuwa vibaraka wao?